Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,580
Ila huu ushabiki shabiki saa ingine huwa na madhara yake
KM,
Naona unajibu mmoja baada ya mwingine.....hakuna hoja au swali bila kuwa na jibu lake 'sahihi'. Wewe kweli kada, nimekubali!!!.
Sisi emu wana mbinu zote za kupambana maana sasa hivi wemekuja na sera ya kuandaa makada kuanzia nasary school. Hii ni sawa na mtoto unazaliwa kwenye familia unabatizwa ukiwa mdogo. Kama mtoto anaanza kuwa muumini wa CCM kuanzia chekechea mnategemea inakuwa je? Inamaanisha CCM inamizizi mirefu nakumbuka zamani kulikuwa na mabalozi wa nyumba kumi na juu ya nyumba yake kunabendera ya CCM. Kama kweli CCM watarecruit vijana kuanzia chekechea kuwa makada hapo mimi nitawalaumu lakini kama hawa wanafunzi wa vyuo ni watu wazima, wasomi na akili zao kama wameamua kujiunga na CCM ni wametumia haki yao ya msingi.
I am sure wangekuwa wanafunzi 200 wamejiunga na Upinzani hapa ingekuwa na hadith nyingine kabisa na kuwasifia kuwa sasa watu wamepata uelewa. Sidhani kama waliambiwa usipo jiunga na CCM hupati mkopo maana Mkopo sio mali ya CCM.
naona umeuliza maswali meeengi na kujijibu mwenyewe ! thats great !!!!!
ahh, kumbe wewe mtoto wa mkulima !
Kada bwana! na wewe huwa hulalagi maana kila mara uko hapa tutakufungia tena uanze ujunior sijui safari hii utakuja na jina gani (I am kidding)
Mkuu hapo sio nauliza na kujibu bali natoa maelezo ya kuwa hawa vijana wa chuo hawajalazimishwa kujiunga bali wametumia haki yao ya msingi kuchagua chama wanachokipenda na kuona kinawafaa. Kada umenipataa?
Sisi emu wana mbinu zote za kupambana maana sasa hivi wemekuja na sera ya kuandaa makada kuanzia nasary school. Hii ni sawa na mtoto unazaliwa kwenye familia unabatizwa ukiwa mdogo. Kama mtoto anaanza kuwa muumini wa CCM kuanzia chekechea mnategemea inakuwa je?
Mkuu Mtoto wa Mkulima,
Heshma mbele, hii ni hoja nzito sana, mimi ningekuwa mwanasiasa wa upande wa pili ningelilia sana kuanzishwa sheria ya kupiga marufuku hili, sasa hivi.
Mkuu Mtoto wa Mkulima,
Heshma mbele, hii ni hoja nzito sana, mimi ningekuwa mwanasiasa wa upande wa pili ningelilia sana kuanzishwa sheria ya kupiga marufuku hili, sasa hivi.
Haya mambo ya kupondea JF yatakushinda. Unafiki kama upo hata wewe unao kwa vile ni mwana JF. hakuna unafiki wala nini ila hii mbinu yako ya kupondea JF kwa ujumla utachemsha. JF is here to stay so jiandae for a long bitter journey hapa.
Mkuu punda kunani kuipondea JF kila mtundiko wako?
Kwanza ulianza kwa kuhoji credibility yetu, leo unahoji unafiki, kulikoni? Watu tuna fikira anuwai hapa.
Huo uhuru wa kutoa na/ama kupokea mawazo/maoni unaousema hapo juu ndio huo wanaoutumia hao wanaowashangaa wanafunzi wa vyuo kujiunga na sisiemu, sasa kosa lao lipi? Wanasema yale yaliyo moyoni mwao bila kificho. Kama wana mtazamo tofauti na unavyofikiri wewe basi ni halali yao, JF inaruhusu, na kama haitoshi katiba ya nchi inaruhusu jambo hilo! Wewe unaishi dunia ipi mkuu?Ndio jambo forums ilivyo, ina watu wa kila namna.
Hebu soma vizuri masharti ya kujiunga na JF pale ukurasa wa mbele, huenda ukaelimika na kuelewa hiki ninachokiandika hapa, kwa sababu wamefafanua kwa undani sana.
Tuendelee kulumbana!
Unafiki upo, kaa chini fikiria, lakini kama utaendelea kukurupuka kama ulivyokurupuka, kamwe hutasema kweli daima!
Nilichomaanisha: Iweje wewe unaedai uhuru wa kuongea na kutoa mawazo yako ujitokeze kupinga uhuru wa hao wanafunzi wa kujiunga na CCM? Kama sio unafiki nini? na hili limeongelewa ndani ya JF na wanaJF. Unafiki upo tena sana tu.
....njaa nyingine hii!