Deadbody
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 4,276
- 6,585
Jamani wanafunzi wa UDSM hivi zile ID holders zinavaliwa kila sehemu uendako? Maana nakutana na wanafunzi hawa wanavaa hizi kila sehemu iwe Kawe, Mwenge, Kariakoo, Mlimani City hata Kigamboni na Posta.
Kuna haja gani ya kuvaa hivi vitambulisho vyenu kila sehemu? Au ni ushamba tu na kutaka kujionyesha kwamba mnasoma UDSM?
Kuna haja gani ya kuvaa hivi vitambulisho vyenu kila sehemu? Au ni ushamba tu na kutaka kujionyesha kwamba mnasoma UDSM?