Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 474
Kutokana na vaga la fukuza fukuza linaloendele mpaka sasa katika chuo kikuu cha Dar es salam na Muhimbili limewafanya wanafunzi waishi maisha ya hofu na uoga , wengine wakiogopa hata kujipitisha sehemu za utawala .Mwanafunzi mmoja kutoka muhas aliripoti akisema bwana hali ya maisha ya chuo imekuwa mbaya ukikamwata unaongelea mapungufu ya chuo unapewa barua ya suspension, pia UDSM nako hali ni tete wanafunzi wanaishi kama panya wana hofu maisha ya chuo yamekuwa yakutishiwa . Jamani naona tumefika siku za Mwisho tushikeni neno la mungu haki ipo kwa mungu tutulie tuombe maombi ya asubuhi na jioni mungu ataokoa