kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
nimefurahishwa sana na jana jinsi wanafunzi wa chuo kikuu cha dodoma walipofanya ziara ya kutembelea kitua cha watoto yatima miyuji nje kidogo ya mji wa dodoma walipeleka zawadi mbalimbali kama unga wa sembe kilo 30 sabuni ya unga kilo 15 chumvi madaftari,kalamu,sukari kilo 15 sabuni za vipande box 2 na mbuzi kitendo hichi kimenifurahisha na wanafunzi wa vyuo vingine yapaswa muige
picha kwa hisani ya bongostarlink
picha kwa hisani ya bongostarlink