Wanafunzi wa St. Joseph tuliohamishiwa RUCU kupitia Marian tunaomba mkopo

mult_talented_p

Senior Member
Oct 10, 2016
103
120
Jamani, sisi wanafunzi wa St. Joseph walioamishiwa RUCU kupitia Marian tumesumbuka sana toka mwezi wa nne hadi leo, hatujapata mkopo.

Tuna vigezo vyote na tumekua tukihangaika kuja Dar kufatilia kwa gharama kubwa lakini hatujapata fedha hizo za kujikimu.

Nasikitika ya kua baadhi ya wanafunzi wenzangu wameacha chuo na wengine wakiwa kwenye madeni makubwa ya ada na chakula.

Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya Elimu itusaidie maana maisha yamekua magumu. Mimi ni msichana mdogo na nimelazimika kufanya kazi ili kumudu maisha ya chuo nikiwa mbali sana na nyumbani.

Naombeni mnifikishie kilio changu kwa waziri wa elimu Professor Joyce Ndalichako.
 
Sisi wanafunzi wa Ruaha Catholic University, tuko Iringa mjini.
Tafadhali naomba mtufikishie kilio chetu kwa mama professor Joyce Ndalichako, ili tusaidiwe.
Mwaka wa ngapi
Halafu huu uuzi umeuweka mahalq sipo ndo.maana wadau hawajauona
 
Jamani, sisi wanafunzi wa St. Joseph walioamishiwa RUCU kupitia Marian tumesumbuka sana toka mwezi wa nne hadi leo, hatujapata mkopo.

Tuna vigezo vyote na tumekua tukihangaika kuja Dar kufatilia kwa gharama kubwa lakini hatujapata fedha hizo za kujikimu.

Nasikitika ya kua baadhi ya wanafunzi wenzangu wameacha chuo na wengine wakiwa kwenye madeni makubwa ya ada na chakula.

Tunaomba serikali kupitia wizara yake ya Elimu itusaidie maana maisha yamekua magumu. Mimi ni msichana mdogo na nimelazimika kufanya kazi ili kumudu maisha ya chuo nikiwa mbali sana na nyumbani.

Naombeni mnifikishie kilio changu kwa waziri wa elimu Professor Joyce Ndalichako.
Huu Uzi peleka pia kwenye jukwaa la siasa Kule uone mnavyopata support ya kutosha maana ishu yenu inaambatana na politics ndani yake.
 
Back
Top Bottom