real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Wanafunzi wa shule ya kimataifa feza walioshinda medali za dhahabu wamewasili jana usiku wakipokelewa na wazaz waho pia na huongozi wa shule hiyo pia mzazi wa Rashid jakaya kikwete mmoja wa wanafunz washirik walioshinda medali mh mama salima kikwete akiongea na waandishi wa habari kuwapongeza wanafunzi kwa juhudi kubwa walizo fanya na kuitangaza vyema nchi yetu.