Wanafunzi wa Shule ya Kata wazichapa na wahuni wa Chafu 3, Polisi waingilia kati

View attachment 517998

Wanafunzi wa shule ya Sekondari Mwanaghati wameenda kufanya fujo ktk eneo moja linalofahamika kwa jina la Nyantila kufuati bifu lao la muda mrefu na kikundi kikorofi cha Chafu 3.

Chanzo cha bifu lao hakijajulikana bado, lakini inadaiwa uhasama wao ulifikia hatua ya kuwindana.
View attachment 517997

--------
Story nzima iko hivi;

Kuna mwanafunzi alinyan'ganywa simu na Kaka mkuu wa Mwanaghati. Huyo Mwanafunzi anaishi Nyantila. Huyo mwanafunzi akaenda kumleta Kaka yake ambaye yupo kwenye hilo group. Wakaenda Shuleni Mwanaghati na Mapanga na Visu. Wakafanya Fujo ila walizidiwa nguvu na Walimu wakawakamata. Wakawapeleka Serikali za Mitaa mwishowe wakawaachia baada ya kuomba msamaha.

Kule shuleni ilikuja kujulikana kwamba kweli Kaka mkuu kachukua simu. Shule imemfukuza huyo kaka Mkuu.

Leo shule ya Nyantila ilikuwa inafungwa. Kaka mkuu kaoganise wanafunzi wa Waende kuwapiga walokuja shule kama kulupiza kisasi.

Walipofika Nyantila wakaanza kupambana, Kuna dereva wa Daladala alienda kuamlia waache kupigana ndipo wakampiga jiwe kaamua paji la uso.

Wale Makonda wa Stand Nyantila Wakaanza kupambana na hao wanafunzi hadi wakakimbia. Katika kukimbia mmoja huyo kwenye picha akajificha kwenye nyumba wahuni wa chafu tatu wakamuona. Ndo kumpiga na kuumiza hajiwezi hawezi hata kuongea. Kafikishwa Hospital amezia sasa kawekewa drip. Baadhi ya Wahuni Washakamatwa. Wanafunzi wengi wameumia.

SIKILIZA MAELEZO KUTOKA KWA MASHUHUDA
ndo wapi huko?
 
chanzo cha ugomvi akina kichwa wala miguu katoto kanaenda kupasuka skull na upotevu wa meno ya mbele,
hapo baadhi ya wanafunzi walienda kwa ushawishi tu bila kufikiri hilo jambo lina maslahi gani kwake...
ujana plus utoto na ujinga
 
uyoo dogo mweusi kwenye kirikuu ndo katokea chafu 3???

amekaa kiteja ata kula sijui kama amekula hii week au amefunga????
 
Halafu mwalimu mimi nalaumiwa Kwa kufelisha??

Nifundishe ,niwalee,niwafunze nidhamu na sasa wananiongezea kazi mpya ya uaskari maana wamegeuka waarifu.

Ngoja niandae scheme of work ya term ijayo na niende gym niwe imara kwa vita hizi za wanafunzi.;

Mungu atanilipa tu mimi mwalimu wa Tanzania
 
Kitu nilikuwa sifanyi shuleni ni kufuata mkumbo.

Sasa hapo ukifukuzwa shule unapoenda nyumbani na kuungana na wazazi kulima vinyungu huku wenzako wanaenda shule za private ndio akili inakaa sawa.
 
Wanaume wa Dar bhana. Wanafunzi wanapigana na wahalifu hata kuwasaidia ili watokomeze uporaji hamna.
Hata hao wahalifu ni wanaume wa Dar. Au ulidhani wahalifu ni wanaume wa mkoa? Tena mtuachie jiji letu. Wanaume wa mkoa hata kuoga hamuogi siku tatu eti kisingizio ni baridi
 
Hao wanafunzi lelemamaa hao...sisi enzi zetu tungewatandika hao wahuni,makondakta na yeyote yule ambaye angeingilia...
 
Wamepasuana hivi huku viroba vimepigwa marufuku!! nadhani vingekuepo wangeokota mzoga.Alafu hizi shule ndo maana zinashikaga mkia.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom