Henry Kilewo
JF-Expert Member
- Feb 9, 2010
- 899
- 1,084
Tukiwa tumesaliwa na siku chache kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika, wanafunzi wanao soma jimbo la KAWE wajitokeza kwenye mdahalo wa jimbo la kawe uliyo andaliwa 'FEMA' kwa kauli yao moja wsema wanaanza kuelimisha wanafunzi wenzao kuhakikisha wanapiga kura kwa CHADEMA na wameapa kuwa watakuwa mawakala wake kwa gharama zao, CCM TUPA KULEEEEEE