Ni uvivu wa kupitia page za nyuma au ni nini? Zote zipo humuMwenye notes za O level Geography naomba atupie humu
Kiongozi zipo notes za advance tu, nimeutitia uzi mara 2Ni uvivu wa kupitia page za nyuma au ni nini? Zote zipo humu
Geography notes Form oneKiongozi zipo notes za advance tu, nimeutitia uzi mara 2
Some Basic Concepts in Physics
Ni kwa wanafunzi wa sekondari
Kiongozi kwemaNiwekee General study mkuu
Ubarikiwe MkuuGeography notes Form Four
Sema title zake. Siyo kila mtu anafahamu sasa mnasoma vitabu gani.Mwenye vitabu vya ushair kiswahili advance level
hongera sana kwa moyo huuNitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani
Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati
Mods please msiunganishe uzi huu na nyuzi zingine za vitabu.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya vitabu vya shuleni na vyuoni tu
Asante kamandahongera sana kwa moyo huu