Wanafunzi wa Mwaka 3 Chuo cha Mipango wakubali Wote kufanya PRESENTATION

zubedayo_mchuzi

JF-Expert Member
Sep 2, 2011
4,873
1,216
Hatimae Wanafunzi wa mwaka 3 chuo cha mipango Jana walijitokeza kwa Wingi kwnye Presnttn ambayo Awali Waliogomea.

Licha mgomo wao kutowasaidia chochote ili walazimu Kuandika barua ya Kujieleza ndipo kupewa Nafasi hiyo.

Presenttn bado inaulinzi wa police.
 
Hatimae Wanafunzi wa mwaka 3 chuo cha mipango Jana walijitokeza kwa Wingi kwnye Presnttn ambayo Awali Waliogomea.

Licha mgomo wao kutowasaidia chochote ili walazimu Kuandika barua ya Kujieleza ndipo kupewa Nafasi hiyo.

Presenttn bado inaulinzi wa police.

Tunashukuru kwa hii taarifa, but i think more than 99% ya JF members hii habar haiwahusu, so it isn't news in here!!
 
Hahahahha yaani presentation mayo watu wanaigomea? Mwaka wa tatu? Watt wanapiga presentation toka mwaka wa kwanza ,,ok kwa mini waligomea?
 
Tunashukuru kwa hii taarifa, but i think more than 99% ya JF members hii habar haiwahusu, so it isn't news in here!!
Hii ni puma ya mwaka!!!! Unamaanisha 99%? sikubaliani na wewe hapa % 99 inatuhusu wore sisi wan a JF
 
Hao majamaa ni vilaza kweli, yaani unagomea kufanya presentation? So weledi wao kisomi uko wapi? Ama kiingereza cha kuunga unga wanahofia kurudia kutamka tamka the the the mpaka mwisho? Ama kweli staajabu ya Musa...
 
Hao majamaa ni vilaza kweli, yaani unagomea kufanya presentation? So weledi wao kisomi uko wapi? Ama kiingereza cha kuunga unga wanahofia kurudia kutamka tamka the the the mpaka mwisho? Ama kweli staajabu ya Musa...
<br />
<br />
chuo chenyewe mipango!!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
chuo chenyewe mipango!!

Kweli mkuu. Form 4 wenyewe wa shule za kata hufanya presentation siku za mahafali kwa mgeni rasmi wakiwa kule maabara. hawa vilaza mipango mapoyoyo haswa
 
Elimu ya Tanzania imeingiliwa. Nategemea ipo siku wanafunzi watagomea mtihani.
 
Back
Top Bottom