Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Acha kupotosha mkuu
Heshimu imani za wengine kama wewe unavyoheshimiwa na wenzio

Imani za wengine tena? Sio Imani kwa Mungu? Basi, Mungu ni mmoja tu na naye utaratibu wake Wa namna ya ku-deal nayeulishaelezwa naye kwa njia ya Mwanaye. Haya ya kushindwa kufanya mambo muhimu katika maisha yetu sababu ya kikwazo cha siku ni mojawapo ya mambo ambayo alishayakataa. Yeye amemuumba mwanadamu na kumuweka juu ya viumbe vyote na juu ya majira na nyakati zote. Mwanadamu ndiye mpangaji Wa majira na nyakati.Ni mratibu Wa majira na nyakati.
 
Shule za Sekondari zinazomlikiwa na Wakatoliki wameshaanza machakato wa kutokupokea wanafunzi wa Kisabato.....They are very distractive kila mahali.....Zamani Shule za Kikatoliki zlikuwa zinawapokea ila sasa wanachujwa sana..itafika mahali "no Admission kwa SDA"

Muende kwenye shule zenu za makambi na lessoni.....msituharibie Taifa bure

Kwa mamlaka yale Yale tuliyopewa. "... Lolote mutakaloliamua au kulikubali duniani na Mbinguni limepita hivyo hivyo...na lolote mutakalolikataza na Mbinguni imekubaliwa hivyo hivyo..."

Yesu alikuja kuleta amani na utulivu duniani na mioyoni mwetu.Alikuja ku-restore tranquility iliyokuwa imepotezwa na dhambi za wazazi wetu Wa mwanzo.Kwa hiyo hatuwezi kukubali kuona kikundi cha "walevi wa kiimani" wanatu-distabilize.
 
Uwepo wa hiki kikundi kikiwa bado kina mitazamo ya ya yule mwanamke tutapata shida sana.....

Imagine dini ya Kisabato imeanzishwa na mwanamke....mwanamke yule kwanza alikuwa na historia ya kuwa na magonjwa ya akili..imagine leo hii watu wanafuata mawazo ya mtu alipatwa na kichaa...matokeo take ndio haya ya kugomea mitihani kwenye chuo cha Kikristo...

Cult religiom ni religion ambayo inabdili kila siku doctrine zake...SDA ipo katika kipindi kigumu cha kubadili sura ya mafundisho yake...kwasasa sermon za Kisabato zimechukua mrengo wa Kipentekoste.....Huku nembo ya awali ya mailaika watatu ikibadiloshwa na kuwekwa logo mpya..

SDA ilikuwa hakuna msalaba kwenye kila kitu chao..ila Logo yao leo ina msalaba...linaendelea kujibadilisha taratibu.. ..

Post yangu No. 309 nilikueleza kwamba una kichaa sugu sasa kwa post yako hii nathibitisha bila mashaka yoyote kwamba wewe kichwani dish limecheza
upload_2017-9-29_10-10-28.png
 
Wewe ndiyo umenena ingekuwa hivyo hata waislam nao wangeigomea ijumaa, lakini cha ajabu waislam ijumaa wanatinga class muda wa swala ukifika wanakwenda kunako mskiti bila shida, hawa wenzetu wanaharibu siku nzima eti Sabato acha wakione cha moto na misimamo yao isiyokuwa na tija kwenye familia zao na ustawi wa kilichowatoa makwao.
Mkuu, Wasabato ni laana ya dunia
 
Hapana....Wasabato wasipobadilisha fikra na mitazamo ya yule Mama White wataendelea kuwa viumbe wa ajabu sana hapa duniani

We umeona wapi kanisa linaanzishwa na mwanamke tena anajipachika unabii na vidume vipo vinashangilia..

Matokeo yake ndio haya wanagomea mitihani
Una mdharau mwanamke ?
 
Ya kaisari apewe kaisari na ya Mungu apewe Mungu, waache kuchanganya dini na taaluma, vyuoni si mahala pa kudumu ni sehemu za kupita tu na kila sehemu kuna taratibu zake, kila mtu kila sehemu akisema afanye kwa jinsi anavyoamini unadhani kuna la maana litaendelea kweli?
Vyuo vya kisabato vipo waende huko. Ni sawasawa uende kusoma shule yenye misingi ya kiislamu ukatae kujifunza Quran, au usome za kikristo ukatae kusoma biblia, kujifunza sala na kufanya mtihani wake.
Kama umefata elimu hakuna kitakachokusumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vyuo vya kisabato vipo waende huko. Ni sawasawa uende kusoma shule yenye misingi ya kiislamu ukatae kujifunza Quran, au usome za kikristo ukatae kusoma biblia, kujifunza sala na kufanya mtihani wake.
Kama umefata elimu hakuna kitakachokusumbua

Sent using Jamii Forums mobile app
UNAPOSAJILI CHUO AU SHULE KWENYE TAASISI ZA UMMA ZENYE MAMLAKA WANAULIZA MITAALA YA DINI? AU WANUFUATA SHERIA ZA USAJILI
 
UNAPOSAJILI CHUO AU SHULE KWENYE TAASISI ZA UMMA ZENYE MAMLAKA WANAULIZA MITAALA YA DINI? AU WANUFUATA SHERIA ZA USAJILI
Sijajua, mwenye kujua atueleweshe. Lkn kuepuka hayo kama wewe ni mfata dini mzuri ni bora kuchagua chuo/shule ambayo taratibu zao hazitakukwaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani wanafunzi waache ujinga, mtihani siku ya J1 wala J2 au siku zingine haina shida. Mbona waislam wanafanya kazi Ijumaa? Mbona shuguli za chaguzi hufanyika J2?

Sabato ya kweli ni pumziko moyoni, lipatikanalo ndani ya Yesu pekee ambaye ni Bwana wa sabato. Siku zote ni za Mungu, hakuna hata moja ambayo ni ya shetani, na siku zote inabidi tumwabudu Muumba.

Kakika nchi za kiarabu, wakristo hukusanyika siku ya Ijumaa (J1 na J2) ni siku za kazi.

Alafu wakati leo hapa ni J1 kwingine ni Ijuma au J2. So kasome maandiko vizuri, wahsauri wanafunzi wenu wakafanye mitihani siku yoyote itakapotolewa.

Pia Yesu alisema msingi wa sabato ni kufanya mema, kama vile "kumokoa punda shimoni", mtijani wako na wa thamani sana kuliko thamani ya Punda!

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Unamaanissha hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba ya nchi isemavyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unamaanissha hakuna uhuru wa kuabudu kama katiba ya nchi isemavyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
Huo uhuru una Mahala pake....Hebu waende wakafanye huo ushenzi wa Kisabato na u-extrimist wa Ellen G White kwenye taasisi yyte ya Kikatoliki uone moto wake...Waulize historia iliyowakuta Wasabato SAUT ndo utajua.....

Huo ujihad wenu pelekeni huko huko kwenye makambi yenu ya ngono
 
Back
Top Bottom