Wanafunzi wa Kisabato Wafukuzwa TEKU kwa Kukataa Kufanya Mitihani Siku ya Sabato naomba muongozo wa kisheria

Watu tumefanya mitihani na presentation siku za pasaka na jumapili kwanini wasiwe wao? ngoja wajaribu kupima kipi kinawagharimu kati ya kuwepo mtaani sababu ya sabato na kufanya mtihani siku ya sabato. Jibu watalipata.
Hiyo sababu si ya maana. Watu hawafanyi maamuzi sababu wewe ulishawahi kuyafanya. Yeye haamini katika kufanya kazi siku ya saba wewe uliamini, yeye atakuwa na maisha ya aina fulani na wewe unayo ya aina yako. Watu wenye misimamo wakati mwingine huwa wanafanikiwa sana. Hapo unaweza kuta huyo hataki kuiasi sabato anayoiamini lakini unakuta ni mzinzi kweli, au hata bia anakunywa. Lakini ameshaamua kuwa sifanyi mtiani leo regadless of consiquenses.
 
Wajinga na wapumbavu kabisa, haya tusubiri tuone maisha yao yataishia wapi...
Hawa wasabato kuna vitu wanavyofanya jmosi mpaka waweza fikiria sodoma na gomora, leo kufanya mitihani wanajidai watu wa dini kinoma?! Ndorobo kabisa...
 
SDA ina ukongwe gani...?? Unataka kutuambia kuwa hiyo imani ya huyo mama Ellen ndio special...???
Hivi nyinyi watu nani kawaloga
SABATO ilianza kabla ya Elen, Elen alifanya kuifukua tu kutoka Catholic, according to history kabla ya kuwa na serikali, mataifa yaliongozwa na dini, na sabato ilianza wakati wa uumbaji. All in all, blv what you blv bado hakuna dini special zaidi ya Upendo, na upendo ni kuwaelewa wengine hata kama wana msimamo tofauti na imani yako. Mwisho, hakuna aliyelogwa bali ni kwamba binadamu tuna tafsiri mambo tofauti maana hatupo locked kama ng'ombe au mbuzi
 
Back
Top Bottom