Msabato haruhusiwi kutoka jasho na asitembee umbali zaidi ya jiwe litakapododoka baada ya kulitupa toka mlangoni kwake. Ukiwa Dar kuna joto na mtu anatokwa na jasho bila hata ya kutoka nje, hivyo ni dhambi. Kama mtu anatoka nyumbani kwake hadi kanisani ambapo ni mbali na kwake, anatenda zambi. Hivyo kama kuna mazambi hayo mengi itakuwa ni upuuzi kutofanya mtihani ati utatenda dhambi
Hivi nani aliwadanganya kwamba hivi vyuo vina taratibu zake?Na seminarini ukila parachichi la paroko tu shule huna...Nidhamu kwanza. wewe unakwenda kwenye chuo chenye taratibu zake unataka uweke taaratibu zako? Kila mmoja akifanya hivyo kwa kisingizio cha UHURU WA KUABUDU na kwa jinsi hizi dini zinavyofumuka utajakuta hata wengine wanakataza kufanya kazi j3 je, tutafanyaje?.
Sua na Teofilo wapi na wapi...???Sua kwenyew wasabato hawafanyishwi mitihani siku ya sabato, tuliwahi kupata hiyo kadhia but professors wengine waelewa, tulipewa mitihani yetu.
Elimu za kibongo full stress, kukimbizana na kuogofyana
Wacha wee.....Wapo mtaani wanachoma mahindi ....Hauwajui wasabato wewe.unadhani hao ni walokole fuata upepo.hao vijana watarudi chuo na hiko chuo kitaacha ujinga huo mara moja.
Shule za Sekondari zinazomlikiwa na Wakatoliki wameshaanza machakato wa kutokupokea wanafunzi wa Kisabato.....They are very distractive kila mahali.....Zamani Shule za Kikatoliki zlikuwa zinawapokea ila sasa wanachujwa sana..itafika mahali "no Admission kwa SDA"Ushauru: Niwashauri wasabato sasa ifikie mahala watafute hii haki yao mahakamani. Kenya wameweza kufanya hivyo. Haki hailetwi na aliyekunyang'anya.
Usidajidanganye waliokusudia kuingiza mambo yao wamukwama.Uwepo wa hiki kikundi kikiwa bado kina mitazamo ya ya yule mwanamke tutapata shida sana.....
Imagine dini ya Kisabato imeanzishwa na mwanamke....mwanamke yule kwanza alikuwa na historia ya kuwa na magonjwa ya akili..imagine leo hii watu wanafuata mawazo ya mtu alipatwa na kichaa...matokeo take ndio haya ya kugomea mitihani kwenye chuo cha Kikristo...
Cult religiom ni religion ambayo inabdili kila siku doctrine zake...SDA ipo katika kipindi kigumu cha kubadili sura ya mafundisho yake...kwasasa sermon za Kisabato zimechukua mrengo wa Kipentekoste.....Huku nembo ya awali ya mailaika watatu ikibadiloshwa na kuwekwa logo mpya..
SDA ilikuwa hakuna msalaba kwenye kila kitu chao..ila Logo yao leo ina msalaba...linaendelea kujibadilisha taratibu.. ..
Umeandika nini hapa..?Usidajidanganye waliokusudia kuingiza mambo yao wamukwama.
Kwa shule za Sekondari ni sahihi. Kwa sababu mojawapo ya kazi ya shule za sekondari za madhehebu ni kufanya missionary activities. This can not be done at a higher education. Kudhibiti uhuru wa watu hasa wa kuabudi kwa sababu za kijinga chuo kikuu ni upumbavu na kutokuelewa.Shule za Sekondari zinazomlikiwa na Wakatoliki wameshaanza machakato wa kutokupokea wanafunzi wa Kisabato.....They are very distractive kila mahali.....Zamani Shule za Kikatoliki zlikuwa zinawapokea ila sasa wanachujwa sana..itafika mahali "no Admission kwa SDA"
Muende kwenye shule zenu za makambi na lessoni.....msituharibie Taifa bure
Unafahamu kuwa Chuo kikuu cha Arusha Jumapili ni siku ya kawaida na Jumamosi ni lazima watu wote wawe kanisani na kufundishwa lessoni..??This can not be done at a higher education. Kudhibiti uhuru wa watu hasa wa kuabudi kwa sababu za kijinga chuo kikuu ni upumbavu na kutokuelewa.
The same wise hakuna mtu anayefanyishwa kazi jumapili kwa sababu zozote zile. Huo ndo ustarabu na uelewaUnafahamu kuwa Chuo kikuu cha Arusha Jumapili ni siku ya kawaida na Jumamosi ni lazima watu wote wawe kanisani na kufundishwa lessoni..??
Ukiona watu wanapanga siku za kutofanyakazi,wakimbie kama ukoma,hao ni wavivu.Waislamu hata siku ya eid ukiwapa mitihani watafanya,Kenya siku ya Eid,waislamu wanapiga kazi kama kawaida,na hawalalamiki.Ijumaa waislamu wanapiga kazi kama kawaida.mkuuu hajanielewa hapo mkuu,siyo kama nawachokoza waislamu ,no lengo langu nilikuwa nataka kusema kwamba siku zote iwe jumapili,jumamosi au ijumaaa, na siku zingine a,bazo wapagani waanaabudu. Chuo kama chuo kisiegamie upande wowote mkuu. mtu yoyote aweze kufanya mitihani regardless siku yake ya kuabudu
Kufanyishwa kazi??? angali mitihani inafanyika kama kawaida....na Wakristo hawaruhusiwi kusali Jumapili..???The same wise hakuna mtu anayefanyishwa kazi jumapili kwa sababu zozote zile. Huo ndo ustarabu na uelewa
Acha kupotosha mkuuHao katika msururu wa Amri za Mungu iliyo kuu, kwao ni "kuitunza sabato"! Wamefundishwa na kusisitizwa kuwa "ukiishika" sabato hata kama uko mwizi, mseng'enyi na mzinzi basi Mbinguni badoi halali yako
Hivi kuna Msabato anayeheshimu imani ya mwingine...???Acha kupotosha mkuu
Heshimu imani za wengine kama wewe unavyoheshimiwa na wenzio
Una matatizo makubwa sana. Kujiandaa kubisha, kulaghai na kukandia; ni ugonjwa. Unaumwa ugonjwa mkubwa sana.Kufanyishwa kazi??? angali mitihani inafanyika kama kawaida....na Wakristo hawaruhusiwi kusali Jumapili..???
Uone tofauti ya Wakristo na Wasabato, Wakristo wana utii na Jumapili hawaendi Kanisani wanahuzuria vipindi
Wewe ndiyo umenena ingekuwa hivyo hata waislam nao wangeigomea ijumaa, lakini cha ajabu waislam ijumaa wanatinga class muda wa swala ukifika wanakwenda kunako mskiti bila shida, hawa wenzetu wanaharibu siku nzima eti Sabato acha wakione cha moto na misimamo yao isiyokuwa na tija kwenye familia zao na ustawi wa kilichowatoa makwao.Ya kaisari apewe kaisari na ya Mungu apewe Mungu, waache kuchanganya dini na taaluma, vyuoni si mahala pa kudumu ni sehemu za kupita tu na kila sehemu kuna taratibu zake, kila mtu kila sehemu akisema afanye kwa jinsi anavyoamini unadhani kuna la maana litaendelea kweli?
ni siku yao ya kuabudu.labda kuanzia jioni ya 12 ndio mtiahni unaweza fanyika. hiyo ilikuwa kawaida katika udsm chuo kongwe jumamosi test na mitihani ni usiku au jion kabisa.TEKU wanatapatapa watawarudisha hao