Wanafunzi wa Kidato cha Nne mwaka 2019 waliochaguliwa Vyuo vya Ualimu ngazi ya Diploma hatma yao ni nini?

muhala.jr

JF-Expert Member
Jul 25, 2014
728
600
Habari wana JF,

Kama kuna anayejua hatma ya hawa vijana ambao Serikali iliwapangia kwenda kusoma Vyuo vya Ualimu level ya Diploma na baada ya miezi sita chuoni wakarudishwa nyumbani kwa kuambiwa vyuo vimefungwa wakisubiri muongozo wa Wizara juu ya mtaala wao hatma yao ni nini!?

Wengi walipata ufaulu mzuri wa daraja la pili katika matokeo yao na wamerudi mtaani tu. Kwanini Serikali isiwapangie Secondary tuu wakasome Kidato cha Tano na Sita kuliko kupoteza future za hawa vijana.
 
kama wao wenyewe na wazazi wao hawana akili za kufikiri hata katika hili waache watoto wakasome!
 
Kama wazazi wanaweza kujichanga hela ya kompyuta (laptop au desktop) na bando la internet, hao vijana wanaweza kujielimisha hukohuko waliko:

Utaalamu Mbalimbali (Professional Certification);
e.g., Emergency Management Institute | Independent Study Program (IS)


Taaluma Mbalimbali (Academic Programs);






 
Back
Top Bottom