Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,588
- 215,184
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford nchini Uingereza wamepiga kura Kuiondoa picha ya Malkia katika majengo ya chuo chao kwasababu inawakilisha ukoloni-Manchester Evening News
Moja ya wachangiaji anasema Malkia pia Mkuu wa Jumuia ya Madola ni alama ya wachache wanaojiona bora kuongoza wengi duniani.
Isitoshe hao wasomi wa Oxford ndiyo wanaowafundisha historia kule walikoiharibu historia yao.
Moja ya wachangiaji anasema Malkia pia Mkuu wa Jumuia ya Madola ni alama ya wachache wanaojiona bora kuongoza wengi duniani.
Isitoshe hao wasomi wa Oxford ndiyo wanaowafundisha historia kule walikoiharibu historia yao.