Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford wataka Picha ya Malkia Elizabeth iondolewe

Ufalme ni alama muhimu sana katika utamaduni wa waingereza na ndio chanzo cha wao kujiondoa hata kwenye EU ili waendelee kudumisha utamaduni wao.

Wanaopinga ufalme katika Uingereza ni wachache tu ukilinganisha na wanaounga mkono ufalme ila tu ni kwamba huko, tofauti sana na huku kwetu, hata watu wanaopinga fikra za wengi mawazo yao huheshimiwa.

Waingereza bado wanathamini mno utamaduni wao na ufalme ni sehemu ya huo utamaduni.
 
Why are you stuck up on the trans atlantic slave trade?

Did Anglo-Normans start their colonial conquest with the trans-atlantic slave trade?

Because the trans-Atlantic slave trade was the biggest, the most profound, most lucrative, had the most far-reaching consequences on various parts of the world, many of which are still being felt today.

Is there any evidence that Oxford University was built by the proceeds of that Norman conquest? Or that’s just your assumption?
 
Because the trans-Atlantic slave trade was the biggest, the most profound, most lucrative, had the most far-reaching consequences on various parts of the world, many of which are still being felt today.

Is there any evidence that Oxford University was built by the proceeds of that Norman conquest? Or that’s just your assumption?
Kwa hiyo kama Oxford haijajengwa na the precceeds from the biggest heist, haijajengwa na proceeds za heist?

That's logical non sequitur right there.

Ngoja nifungue ma blue books hapa ku nail down specifics kuhusu Oxford, but even before that, ukishakubali Oxford kimenufaika na utumwa, kutaka kuondoa picha ya Malkia wakati hujajiondoa Oxford ni unafiki.

Yani ni kama unataka ku uninstall operating system ya computer kwa ku issue commands ukiwa ndani ya hiyo hiyo operating system.

That will not work.

You need some kind of external system to do that.
 
Kwa hiyo kama Oxford haijajengwa na the precceeds from the biggest heist, haijajengwa na proceeds za heist?

That's logical non sequitur right there.

Ngoja nifungue ma blue books hapa ku nail down specifics kuhusu Oxford, but even before that, ukishakubali Oxford kimenufaika na utumwa, kutaka kuondoa picha ya Malkia wakati hujajiondoa Oxford ni unafiki.

Yani ni kama unataka ku uninstall operating system ya computer kwa ku issue commands ukiwa ndani ya hiyo hiyo operating system.

That will not work.

You need some kind of external system to do that.
Niliuliza tu kuwa, Oxford imejengwa na faida za utumwa upi? Ni hilo tu. Ukirudi kusoma bandiko langu la kwanza kwenye huu uzi, utaona hivyo ndivyo nilivyouliza.

Other than that, I’m not with the ‘woke’ bullshit.

Hao wanafunzi wa Oxford hawana tofauti yoyote na ‘woke brigade’ ya Marekani ambayo inataka kuvunja masanamu ya makamanda wa vita vya Marekani [civil war] na waasisi wa taifa la Marekani kwa sababu walikuwa ni slave holders/ owners/ masters etc.

Marekani tuijuavyo, imejengwa na jasho na damu za watumwa.

Ukitaka kuifutilia mbali hiyo historia, basi ifutilie mbali Marekani. Kuvunja na kung’oa sanamu za akina Thomas Jefferson, Benjamin Franklin, Robert E Lee, na wengineo, halafu bado unaishi kwenye nchi hiyo hiyo iliyojengwa na watumwa, makes no sense to me!

Mbona hela/ noti za dola huwa hawazichani?

Maana zimejaa picha za hao founding fathers.

Unang’oa masanamu lakini noti za dola huzichani na kuzichoma moto na huachi kuzitumia…
 
Niliuliza tu kuwa, Oxford imejengwa na faida za utumwa upi? Ni hilo tu. Ukirudi kusoma bandiko langu la kwanza kwenye huu uzi, utaona hivyo ndivyo nilivyouliza.

Other than that, I’m not with the ‘woke’ bullshit.

Hao wanafunzi wa Oxford hawana tofauti yoyote na ‘woke brigade’ ya Marekani ambayo inataka kuvunja masanamu ya makamanda wa vita vya Marekani [civil war] na waasisi wa taifa la Marekani kwa sababu walikuwa ni slave holders/ owners/ masters etc.

Marekani tuijuavyo, imejengwa na jasho na damu za watumwa.

Ukitaka kuifutilia mbali hiyo historia, basi ifutilie mbali Marekani. Kuvunja na kung’oa sanamu za akina Thomas Jefferson, Benjamin Franklin, Robert E Lee, na wengineo, halafu bado unaishi kwenye nchi hiyo hiyo iliyojengwa na watumwa, makes no sense to me!

Mbona hela/ noti za dola huwa hawazichani?

Maana zimejaa picha za hao founding fathers.

Unang’oa masanamu lakini noti za dola huzichani na kuzichoma moto na huachi kuzitumia…
Dada Sky Eclat anasema mpango mzima ni kupindua kila kitu, ila wanaaza kutest zali kidogokidogo.
 
Wataacha kutumia na lugha ya Kiingereza?
Lugha wataitumia, hata Shakespeare alipowashutumu Mabepari wa Venisi, alipokuwa mtu "woke" wa muda huo, aliitumia.

Umenikumbusha 'Defund the police". AOC kaajiri private security kwenye mikutano yake just to make a point she doesn't need the police, but how many can afford that?

Kuna mshkaji mmoja alikuwa anapiga concerts za reggae, reggae culture huwa haipendi kabisa polisi, wanatukanwa vibaya sana.

Sasa, nikawa nategemea mshkaji awe ana bash polisi.

Kinyume na matarajio yangu, jamaa alifanya kitu highly controversial in the culture lakini kilichomuonesha kuwa highly intelligent and balanced.

Jamaa alikuwa anpiga nyimbo za reggae zinazowashutumu polisi, halafu anawashukuru polisi kwa kutunza usalama katika concert. Akitambua kwamba bila uwepo wao usalama utakuwa na mushkeli.
 
Hili sekeseke la kutaka picha iondolewe wala halijaanza leo, nakumbuka pia 2016 kipindi nipo chuoni hapo liliwahi ibuliwa na nshu wala siyo ukoloni, kuna ajenda nyingi tu nyuma yake.
Leta hizo agenda
 
Noti za fedha za Uingereza zina picha ya Malkia, wametaka picha ya Malkia iondolewe kwenye fedha pia?

Au fedha wanatumia tu lakini wanashikia bango picha?
Wakikujibu unistue nami pia, namalizia kujiunga kifurushi cha asubuhi 😅😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom