Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Oxford wataka Picha ya Malkia Elizabeth iondolewe

Mabadiliko hayawezi kutokea haraka. Angalau wanaishi kwenye nchi inayotuhusi maoni na vijana wameonyesha ujasiri wao.

Dunia imebadilika, zamani noble families waliona wenyewe lakini sasa hivi huhitaji kuwa wa noble family kuwa tajiri. Unaweza kuwa actor na celebrate mwenye pesa kuliko nobles.
Wangejikita kuuondoa Ufalme kwanza.

Kutaka kuondoa picha ya Malkia, mtu ambaye ni Head of State, chuoni, ni kichekesho.

Wakiuondoa Ufalme kama walivyofanya wenzao Wafaransa, hiyo picha ya Malkia itaondolewa chuoni mpaka kwenye noti.
 
Wangejikita kuuondoa Ufalme kwanza.

Kutaka kuondoa picha ya Malkia, mtu ambaye ni Head of State, chuoni, ni kichekesho.

Wakiuondoa Ufalme kama walivyofanya wenzao Wafaransa, hiyo picha ya Malkia itaondolewa chuoni mpaka kwenye noti.
Wananch wengi wana hiki umuhimu wa Ufalme, wengi wanasema baada ya kifo cha Malkia kutakua na madiliko mengi. Charles ameshaanza kupunguza list ya seniors royals ambao wana sifa ya kuhudumiwa na pesa ya kodi. Wengine wanapata ruzuku kutoka kwenye vya zo vya mapato vya mali za Malkia mfano kodi za nyumba na mashamba.
 
Wananch wengi wana hiki umuhimu wa Ufalme, wengi wanasema baada ya kifo cha Malkia kutakua na madiliko mengi. Charles ameshaanza kupunguza list ya seniors royals ambao wana sifa ya kuhudumiwa na pesa ya kodi. Wengine wanapata ruzuku kutoka kwenye vya zo vya mapato vya mali za Malkia mfano kodi za nyumba na mashamba.
Kuna Waingereza wengi bado wanapenda Ufalme pia.

Vijana wengi ndio wanaotaka kuuondoa Ufalme. Ndiyo hao wengine wanafunzi wa Oxford.


 
Hili sekeseke la kutaka picha iondolewe wala halijaanza leo, nakumbuka pia 2016 kipindi nipo chuoni hapo liliwahi ibuliwa na nshu wala siyo ukoloni, kuna ajenda nyingi tu nyuma yake.
Wengine tulikuwa wadogo (machalii) enzi hizo kwahiyo hebu fanya kama unatuwekea nyamanyama hapa tujifunze na sisi
 
Ukishakubali kwenda kusoma Oxford umeshakubali mfumo ulioiweka Oxford.

Wanachofanya hapo ni sawa na mbunge kuhoji uhalali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Kwa mfano huo ulioutoa hapo aya ya pili asiyeelewa basi ndo hatakaa aelewe tena abadani. Hatahivyo, kuna wanaosema "unajiingiza miongoni mwao ili uweze kuusoma mchezo wao vilivyo kisha ukawasambaratisha" kwahiyo labda ndo wanachofanya na hao
 
Chuo chenyewe kimejengwa kwa fedha za utumwa na ukoloni, hivyo, kama wanataka kupinga historia ya utumwa na ukoloni, kwanza wajiondoe chuoni.

Otherwise ni mambo ya "Baniani mbaya, kiatu chake dawa"

Nchi nzima imejengwa kwa misingi ya utumwa na ukoloni, leo unaenda kulalamikia picha ya Malkia.

Kama si unafiki ni nini?
Oxford ilianzishwa kati ya karne ya 11 na 12.

Ni fedha za utumwa upi zilizokijenga hicho chuo? Trans-Atlantic slave trade?

Trans-Atlantic slave trade haikuanza hadi ilipofika karne ya 16.

Kwa hiyo timeline, ni dhahiri kwamba chuo cha Oxford tayari kilikuwa kishaanzishwa/ jengwa wakati trans-Atlantic slave trade inaanza.

Ila nijuavyo, baadhi ya constituent colleges zinazounda hicho chuo, zilipewa hela na baadhi ya slave traders wa Kiingereza kwenye karne za 17 na 18.

Chuo kilinufaika na slave trade. Hakikujengwa na slave trade money.

Chuo cha Yale, Marekani ndo mtu unaweza kilijengwa na fedha za utumwa kwa sababu mfadhili wake mkuu, Elihu Yale, alikuwa anahusika na biashara ya utumwa.
 
Oxford ilianzishwa kati ya karne ya 11 na 12.

Ni fedha za utumwa upi zilizokijenga hicho chuo? Trans-Atlantic slave trade?

Trans-Atlantic slave trade haikuanza hadi ilipofika karne ya 16.

Kwa hiyo timeline, ni dhahiri kwamba chuo cha Oxford tayari kilikuwa kishaanzishwa/ jengwa wakati trans-Atlantic slave trade inaanza.

Ila nijuavyo, baadhi ya constituent colleges zinazounda hicho chuo, zilipewa hela na baadhi ya slave traders wa Kiingereza kwenye karne za 17 na 18.

Chuo kilinufaika na slave trade. Hakikujengwa na slave trade money.

Chuo cha Yale, Marekani ndo mtu unaweza kilijengwa na fedha za utumwa kwa sababu mfadhili wake mkuu, Elihu Yale, alikuwa anahusika na biashara ya utumwa.
Kwani utumwa na ukoloni umeanzia kwenye Trans-Atlantic slave trade?

Anglo-Normans walivyoshambulia Wales hakukuwa na utumwa na ukoloni?
 
Kwani utumwa na ukoloni umeanzia kwenye Trans-Atlantic slave trade?

Anglo-Normans walivyoshambulia Wales hakukuwa na utumwa na ukoloni?
Ni utumwa na ukoloni upi sasa uliokijenga chuo cha Oxford? Nimeuliza hilo swali.

Utumwa na ukoloni ulioanza karne ya 16/17 ndo ulikuwa wenye faida kubwa sana kwa waliohusika.
 
Ni utumwa na ukoloni upi sasa uliokijenga chuo cha Oxford? Nimeuliza hilo swali.

Utumwa na ukoloni ulioanza karne ya 16/17 ndo ulikuwa wenye faida kubwa sana kwa waliohusika.
Anglo-Normans walianza ukoloni tangu 1066 huko.

Au unafikiri Ukoloni ni huu wa kutawala Afrika na India tu?
 
Anglo-Normans walianza ukoloni tangu 1066 huko.

Au unafikiri Ukoloni ni huu wa kutawala Afrika tu?
Nauliza tena, ni utumwa na ukoloni upi uliokijenga chuo cha Oxford?

Ukoloni, hata Marekani hii ya leo ilikuwa koloni la Uingereza. Ukoloni haukuanza na Afrika.
 
Wanaotaka picha iondolewe ni jumuiya ya wanafunzi wa 'postgraduate' wa ndaki (college) moja ya Chuo cha Oxford, sio chuo kizima. Hivyo, huo hauwezi kuwa msimamo wa wanafunzi wote wa Chuo cha Oxford.

Isitoshe, hiyo picha haikuwekwa hapo chuoni na uongozi wa chuo ama serikali bali iliwekwa na wanafunzi wenyewe.
 
Nauliza tena, ni utumwa na ukoloni upi uliokijenga chuo cha Oxford?

Ukoloni, hata Marekani hii ya leo ilikuwa koloni la Uingereza. Ukoloni haukuanza na Afrika.
Kuanzia huo wa Anglo-Normans wa 1066, mpaka Transatlantic slave trade.

Au unataka kusema mapato ya biashara haramu za utumwa wa Transatlantic slave trade hayajashiriki kukijenga chuo cha Oxford?

Au unafikiri watu wakisema chuo kimeanza miaka mia tisa iliyopita, maana yake kimeacha kujengwa miaka mia tisa iliyopita?

Hujui kwamba chuo kila mwaka kinapata vitu vipya kutokana na endowment inayofadhiliwa na serikali mpaka leo, na hivyo hakijaepuka kupata endowment ya utumwa na ukoloni?

Kuanzia majengo, vitabu, mishahara ya walimu, manunuzi ya vitu vya maabara, collection za artifacts etc, Oxford kimeepukaje kufaidika na utumwa na ukoloni wakati kipo katika kitovu cha ukoloni wa Uingereza?
 
Kuanzia huo wa Anglo-Normans wa 1066, mpaka Transatlantic slave trade.

Au unataka kusema mapato ya biashara haramu za utumwa wa Transatlantic slave trade hayajashiriki kukijenga chuo cha Oxford?

Au unafikiri watu wakisema chuo kimeanza miaka mia tisa iliyopita, maana yake kimeacha kujengwa miaka mia tisa iliyopita?

Hujui kwamba chuo kila mwaka kinapata vitu vipya kutokana na endowment inayofadhiliwa na serikali mpaka leo, na hivyo hakijaepuka kupata endowment ya utumwa na ukoloni?

Kuanzia majengo, vitabu, mishahara ya walimu, manunuzi ya vitu vya maabara, collection za artifacts etc, Oxford kimeepukaje kufaidika na utumwa na ukoloni wakati kipo katika kitovu cha ukoloni wa Uingereza?
Naona umenisoma lakini ni ama hujaelewa au umesahau.

Nimesema hivi:

“Kwa hiyo timeline, ni dhahiri kwamba chuo cha Oxford tayari kilikuwa kishaanzishwa/ jengwa wakati trans-Atlantic slave trade inaanza.

Ila nijuavyo, baadhi ya constituent colleges zinazounda hicho chuo, zilipewa hela na baadhi ya slave traders wa Kiingereza kwenye karne za 17 na 18.

Chuo kilinufaika na slave trade. Hakikujengwa na slave trade money.”
 
Naona umenisoma lakini ni ama hujaelewa au umesahau.

Nimesema hivi:

“Kwa hiyo timeline, ni dhahiri kwamba chuo cha Oxford tayari kilikuwa kishaanzishwa/ jengwa wakati trans-Atlantic slave trade inaanza.

Ila nijuavyo, baadhi ya constituent colleges zinazounda hicho chuo, zilipewa hela na baadhi ya slave traders wa Kiingereza kwenye karne za 17 na 18.

Chuo kilinufaika na slave trade. Hakikujengwa na slave trade money.”
Chuo mpaka leo mbona kinajengwa bado, kwani hizo constituent colleges za mwisho zimejengwa lini, hata ukitaka kuchukulia tafsiri finyu ya majengo.

Chuo kikijenga maabara mpya leo kwa kutumia hela ya almasi zilizoporwa India, nikasema kimejengwa kwa hela za ujambazi wa ukoloni, leo, nitakuwa nimekosea?
 
Chuo mpaka leo mbona kinajengwa bado, kwani hizo constituent colleges za mwisho zimejengwa lini, hata ukitaka kuchukulia tafsiri finyu ya majengo.

Chuo kikijenga maabara mpya leo kwa kutumia hela ya almasi zilizoporwa India, nikasema kimejengwa kwa hela za ujambazi wa ukoloni, leo, nitakuwa nimekosea?
Ndiyo. Utakuwa umekosea.

Ukisema chuo kimejengwa na hela za ukoloni wakati chuo hicho kimekuwepo kwa mamia ya miaka, ilhali maabara hiyo unayoizungumzia ni mpya na imejengwa na hela za ukoloni toka huko India, si sawa.

Hapo unapaswa kusema chuo kimenufaika na ukoloni wa huko India na moja ya vitu kilichonufaika nacho ni ujenzi wa hiyo maabara.

Wewe leo hii ukienda UDSM na kuchangia hela za ujenzi wa computer lab mpya [wakati tayari zipo computer labs kadhaa], huwezi baadaye kuja kuchukua credit kwamba hela zako zimekijenga chuo kikuu cha Dar es Salaam wakati kimekuwepo kabla hata hujazaliwa.

Hela za Elihu Yale zimekijenga chuo kikuu cha Yale. Elihu Yale alikuwa ni slave trader.

Ukisema Elihu Yale alitoa seed money ya kukianzisha chuo kikuu cha Yale, hutokuwa umekosea.

Oxford imenufaika na faida za biashara ya utumwa pamoja na ukoloni.

Kujengwa na pesa za utumwa na ukoloni? Nahitaji kuona ushahidi zaidi…
 
Ndiyo. Utakuwa umekosea.

Ukisema chuo kimejengwa na hela za ukoloni wakati chuo hicho kimekuwepo kwa mamia ya miaka, ilhali maabara hiyo unayoizungumzia ni mpya na imejengwa na hela za ukoloni toka huko India, si sawa.

Hapo unapaswa kusema chuo kimenufaika na ukoloni wa huko India na moja ya vitu kilichonufaika nacho ni ujenzi wa hiyo maabara.

Wewe leo hii ukienda UDSM na kuchangia hela za ujenzi wa computer lab mpya [wakati tayari zipo computer labs kadhaa], huwezi baadaye kuja kuchukua credit kwamba hela zako zimekijenga chuo kikuu cha Dar es Salaam wakati kimekuwepo kabla hata hujazaliwa.

Hela za Elihu Yale zimekijenga chuo kikuu cha Yale. Elihu Yale alikuwa ni slave trader.

Ukisema Elihu Yale alitoa seed money ya kukianzisha chuo kikuu cha Yale, hutokuwa umekosea.

Oxford imenufaika na faida za biashara ya utumwa pamoja na ukoloni.

Kujengwa na pesa za utumwa na ukoloni? Nahitaji kuona ushahidi zaidi…
Oxford kimejengwa mwaka gani, na utumwa na ukoloni Uingereza umeanza mwaka gani?

The earlierst teaching at Oxford is from 1096.

Well after the Anglo-Norman invasion of 1066.
 
Oxford kimejengwa mwaka gani, na utumwa na ukoloni Uingereza umeanza mwaka gani?

The earlierst teaching at Oxford is from 1096.

Well after the Anglo-Norman invasion of 1066.
Exact dates are probably hard to pinpoint.

However, it is documented that it was established somewhere around the 11th and 12th centuries.

Benefits from the proceeds of the trans-Atlantic slave are also well documented. Colonialism as well.

Cecil Rhodes alianzisha Rhodes Scholarship ambayo watu wengi tu wamenufaika nayo akiwemo Bill Clinton. Clinton was a Rhodes scholar.
Christopher Codrington, slave owner/ trader aliacha hela za kujengea maktaba katika chuo kushiriki cha All Souls College, Oxford.

Sasa kuna documented history inayoonyesha Oxford University ilinufaika na ukoloni na utumwa ulio tofauti na huu tuujuao?
 
Exact dates are probably hard to pinpoint.

However, it is documented that it was established somewhere around the 11th and 12th centuries.

Benefits from the proceeds of the trans-Atlantic slave are also well documented. Colonialism as well.

Cecil Rhodes alianzisha Rhodes Scholarship ambayo watu wengi tu wamenufaika nayo akiwemo Bill Clinton. Clinton was a Rhodes scholar.
Christopher Codrington, slave owner/ trader aliacha hela za kujengea maktaba katika chuo kushiriki cha All Souls College, Oxford.

Sasa kuna documented history inayoonyesha Oxford University ilinufaika na ukoloni na utumwa ulio tofauti na huu tuujuao?
Why are you stuck up on the trans atlantic slave trade?

Did Anglo-Normans start their colonial conquest with the trans-atlantic slave trade?
 
Back
Top Bottom