Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu Arusha waandamana baada ya Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) kukata pesa zao za kujikimu

mr mkiki

JF-Expert Member
Sep 22, 2016
5,583
11,659
Wanafunzi wa Chuo cha Uhasibu- Arusha wakiandamana usiku huu kuishinikiza Bodi ya Mikopo Nchini
HESLB kurejesha kiwango kilichosalia cha 510,000/= kwa mwaka huu wa masomo 2019/2020.

6FE81CED-34D0-4874-8F2F-80DCCF9217F8.jpeg
 
Subiri kampeni zianze kuna mkulu mmoja atatangaza kuwapa watu wanaohusika na mikopo siku mbili pesa zipewe kwa wanafunzi.
Then wanafunzi watalipuka kwa furaha na watamwaga sifa kede kede na kuahidi kumpigia kura mkulu.

Bloodful
 
Back
Top Bottom