Kiungani
JF-Expert Member
- Feb 2, 2007
- 274
- 71
Wabongo bado sana,i said it before!inasikitisha sana kwasababu kuna watakaokata tamaa na hii nchi, kuna ambao wameshafanya hivyo,wengine wanakula na vipofu...Subiri uone kama kuna watakaokataa hayo malipo yenye kukufuru ama kama wanafunzi/wananchi wataandamana.
Chief Observer wa EU EOM David Martin wakati anakabidhi report ya uchaguzi alisema I would like to be clear that in doing so we in no way call into question the validity of the election result. I said the last time I was in the country that the ultimate test of an election is did the people get the government they voted for? In Tanzania, they did
Haina maana kuwa Tanzania wamepata the government they needed or they deserved. Kwa hiyo mnaopiga kelele na ubovu au upungufu wa priorities za nchi, mkumbuke kuwa watu wamepata serikali walioichagua.
Wabunge na Dowans ni lazima walipwe (Bil 94 Dowans, Bil 34 magari ya Wabunge). Wanafunzi, wagonjwa, Wazee wa Jumuia, nyongeza za mishahara ya walimu, ukosefu wa umeme, barabara mbovu, n.k. hivyo vyote visubiri kwani serikali haina hela.