TUNTEMEKE
JF-Expert Member
- Jun 15, 2009
- 4,587
- 579
Wanafunzi wa chuo kikuu dodoma(udom) wameamka na leo hii walijitokeza kwa wingi ktk maandamano makubwa yaliyoandaliwa na chadema mkoa wa dodoma na kulaan mauaji ya arusha,sambamba na kuchangia laki 7,ela iliyotolewa na wanafunz wa chuo hicho.wanavyuo wa vyuo vyote vya dodoma walionekana wakilia kulaan mauaji ya arusha.