Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 576
Sasa hivi ninapoandika mambo haya wanafunzi wa vyuo vya Taasisi za Afya Shiriki Muhimbili, ambao ndio uti wa mgongo wa shughuli za maabara, uuguzi na baadhi ya tiba katika hospitali ya Taifa Muhimbili wameandamana na wanasemekana wako ofin kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali hiyo.
Wanafunzi hao wanafadhiliwa na Wizara ya Afya, analipwa mkurugenzi 50 Million kila semesta kwa kuwalisha wanafunzi ambao ni wengi wanaochukukuwa program za MUHAS. Hasikii kitu akiulizwa anawalisha nini watu hawa.
Wote wanafunzi wamegoma kuingia madarasani. Atakayeingia ati ni mkong'oto. Habari zaidi baadaye.
Leka
Wanafunzi hao wanafadhiliwa na Wizara ya Afya, analipwa mkurugenzi 50 Million kila semesta kwa kuwalisha wanafunzi ambao ni wengi wanaochukukuwa program za MUHAS. Hasikii kitu akiulizwa anawalisha nini watu hawa.
Wote wanafunzi wamegoma kuingia madarasani. Atakayeingia ati ni mkong'oto. Habari zaidi baadaye.
Leka