NUMAN
JF-Expert Member
- Sep 3, 2019
- 614
- 831
Kuna haja ya kuwa na kumi bora ya shule za Kata (wananchi)...maana huu ulinganifu hauko fair kabisa ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujidanganya.Mkuu, mtu kuwa mwanafunzi bora ni jambo kubwa sana na la kujivunia, hasa kibinafsi!
Lakini kibongobongo halina maana, kwa sababu woote hao wataenda A level hizi hizi za kwetu, na baadaye vyuo hivihivi, baadaye wanakuwa watu tu wa kawaida, ambao hata kwenye jamii wanaweza wasitusaidie sana kutatua changamoto zetu.
Kwa mfano, kuna viongozi fulani wa serikali ambao inasemekana walikuwa vichwa sana, lakini mbona ndio wanaongoza kwa kutoa 'boko'!?
Hivyo, kibongobongo, kuwa miongoni mwa wanafunzi bora, ni jambo la kujivunia muhusika, ila jamii tusidhani kuwa anaweza kuwa msaada sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Tutaishitaki NECTA kwa kupendelea hayo majina. Ha ha ha ha . Anzia shule mpaka majina yenyewe 9. Hilo moja la kumi sijajua jina lenyewe liko upande upi. Pole sasa mama kipenzi Ndalichako maana walikupiga mawe sana kuwa unapendeelea wa kwako. Sasa ulitoka mbona mambo ni yale yale na kuzidi?Wakuu napenda kuwaletea majina ya Wanafunzi kumi bora kidato cha nne 2019 kitaifa.
1. Joan Ritte (St Francis Girls Mbeya)
2. Denis Kinyange (Nyengezi Seminary Mwanza)
3. Erick Mutasingwa (Sengerema Seminary Mwanza)
4. Rosalia Mwidege (St Francis Girls Mbeya)
5. Domina Wamara (St Francis Girl Mbeya)
6. Mvano Cobangoh (Feza Boy’s- Dar es Salaam)
7. Agatha Mlelwa (St Francis Girls Mbeya)
8. Sarah Kaduma (St Francis Girls Mbeya
9. Shammah Kiunsi (St Francis Girls Mbeya)
10. Luck Magashi (Huruma Girls Dodoma)
=====