Wanafunzi kumi bora kitaifa kwenye matokeo ya kidato cha nne 2019

Torch

JF-Expert Member
Aug 11, 2013
1,200
1,116
Wakuu napenda kuwaletea majina ya Wanafunzi kumi bora kidato cha nne 2019 kitaifa.

1. Joan Ritte (St Francis Girls Mbeya)
2. Denis Kinyange (Nyengezi Seminary Mwanza)
3. Erick Mutasingwa (Sengerema Seminary Mwanza)
4. Rosalia Mwidege (St Francis Girls Mbeya)
5. Domina Wamara (St Francis Girl Mbeya)
6. Mvano Cobangoh (Feza Boy’s- Dar es Salaam)
7. Agatha Mlelwa (St Francis Girls Mbeya)
8. Sarah Kaduma (St Francis Girls Mbeya
9. Shammah Kiunsi (St Francis Girls Mbeya)
10. Luck Magashi (Huruma Girls Dodoma)

=====
Mkuu, mtu kuwa mwanafunzi bora ni jambo kubwa sana na la kujivunia, hasa kibinafsi!

Lakini kibongobongo halina maana, kwa sababu woote hao wataenda A level hizi hizi za kwetu, na baadaye vyuo hivihivi, baadaye wanakuwa watu tu wa kawaida, ambao hata kwenye jamii wanaweza wasitusaidie sana kutatua changamoto zetu.

Kwa mfano, kuna viongozi fulani wa serikali ambao inasemekana walikuwa vichwa sana, lakini mbona ndio wanaongoza kwa kutoa 'boko'!?

Hivyo, kibongobongo, kuwa miongoni mwa wanafunzi bora, ni jambo la kujivunia muhusika, ila jamii tusidhani kuwa anaweza kuwa msaada sana!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu kuna wadau watakwambia English Medium hakuna kitu...
Mkuu, mtu kuwa mwanafunzi bora ni jambo kubwa sana na la kujivunia, hasa kibinafsi!

Lakini kibongobongo halina maana, kwa sababu woote hao wataenda A level hizi hizi za kwetu, na baadaye vyuo hivihivi, baadaye wanakuwa watu tu wa kawaida, ambao hata kwenye jamii wanaweza wasitusaidie sana kutatua changamoto zetu.

Kwa mfano, kuna viongozi fulani wa serikali ambao inasemekana walikuwa vichwa sana, lakini mbona ndio wanaongoza kwa kutoa 'boko'!?

Hivyo, kibongobongo, kuwa miongoni mwa wanafunzi bora, ni jambo la kujivunia muhusika, ila jamii tusidhani kuwa anaweza kuwa msaada sana!!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, mtu kuwa mwanafunzi bora ni jambo kubwa sana na la kujivunia, hasa kibinafsi!

Lakini kibongobongo halina maana, kwa sababu woote hao wataenda A level hizi hizi za kwetu, na baadaye vyuo hivihivi, baadaye wanakuwa watu tu wa kawaida, ambao hata kwenye jamii wanaweza wasitusaidie sana kutatua changamoto zetu.

Kwa mfano, kuna viongozi flani wa serikali ambao inasemekana walikuwa vichwa sana, lakini mbona ndio wanaongoza kwa kutoa 'boko'!?

Hivyo, kibongobongo, kuwa miongoni mwa wanafunzi bora, ni jambo la kujivunia muhusika, ila jamii tusidhani kuwa anaweza kuwa msaada sana!!


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulifeli sasa unajiliwaza tu
 
mpatto, Wanaweza kuwa msaada, Salim Ahmed Salim, Baba wa Taifa, Mkapa, Walisoma hapa na waliweza kufanya makubwa.

Kijana wa kitanzania anachokosa ni fulsa yakuonesha umwamba Wake,

Kabla ya facebook, na whatsapp, Mika ya 2000,kuna vijana walitengeneza system, tovuti ilikuwa inatuwezesha kuchart live in real time,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tujifunze kitu kwa wakatoliki kwenye shule hizo 10 ni moja isiyo ya kikatoliki NATO ni feza boys
 
Salimu hakuwaga na distinction you elimu zake mpaka alivyoenda elimu za juu
Wanaweza kuwa msaada, Salim Ahmed Salim, Baba wa Taifa, Mkapa, Walisoma hapa na waliweza kufanya makubwa.
Kijana wa kitanzania anachokosa ni fulsa yakuonesha umwamba Wake,
Kabla ya facebook, na whatsapp, Mika ya 2000,kuna vijana walitengeneza system, tovuti ilikuwa inatuwezesha kuchart live in real time,

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom