Torch
JF-Expert Member
- Aug 11, 2013
- 1,200
- 1,116
Wakuu napenda kuwaletea majina ya Wanafunzi kumi bora kidato cha nne 2019 kitaifa.
1. Joan Ritte (St Francis Girls Mbeya)
2. Denis Kinyange (Nyengezi Seminary Mwanza)
3. Erick Mutasingwa (Sengerema Seminary Mwanza)
4. Rosalia Mwidege (St Francis Girls Mbeya)
5. Domina Wamara (St Francis Girl Mbeya)
6. Mvano Cobangoh (Feza Boy’s- Dar es Salaam)
7. Agatha Mlelwa (St Francis Girls Mbeya)
8. Sarah Kaduma (St Francis Girls Mbeya
9. Shammah Kiunsi (St Francis Girls Mbeya)
10. Luck Magashi (Huruma Girls Dodoma)
=====
1. Joan Ritte (St Francis Girls Mbeya)
2. Denis Kinyange (Nyengezi Seminary Mwanza)
3. Erick Mutasingwa (Sengerema Seminary Mwanza)
4. Rosalia Mwidege (St Francis Girls Mbeya)
5. Domina Wamara (St Francis Girl Mbeya)
6. Mvano Cobangoh (Feza Boy’s- Dar es Salaam)
7. Agatha Mlelwa (St Francis Girls Mbeya)
8. Sarah Kaduma (St Francis Girls Mbeya
9. Shammah Kiunsi (St Francis Girls Mbeya)
10. Luck Magashi (Huruma Girls Dodoma)
=====
Mkuu, mtu kuwa mwanafunzi bora ni jambo kubwa sana na la kujivunia, hasa kibinafsi!
Lakini kibongobongo halina maana, kwa sababu woote hao wataenda A level hizi hizi za kwetu, na baadaye vyuo hivihivi, baadaye wanakuwa watu tu wa kawaida, ambao hata kwenye jamii wanaweza wasitusaidie sana kutatua changamoto zetu.
Kwa mfano, kuna viongozi fulani wa serikali ambao inasemekana walikuwa vichwa sana, lakini mbona ndio wanaongoza kwa kutoa 'boko'!?
Hivyo, kibongobongo, kuwa miongoni mwa wanafunzi bora, ni jambo la kujivunia muhusika, ila jamii tusidhani kuwa anaweza kuwa msaada sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app