Aloy Son
Member
- Nov 27, 2011
- 7
- 0
Ni katika shule moja ya kata inayofahamika kwa jina la kifanya Sekondari mkoani Njombe wamefukuzwa bila sababu za msingi..... je nini kifanyike ikiwa ni idadi ya zaidi ya wanafunzi zaidi ya kumi... kwa upande wangu sidhani kama ni adhabu stahiki kwa wanafunzi hao ikiwa yasemekana kosa lao ni kukutwa nje ya madarasa wakati wa vipindi.
HII NI HATARI SANA IKIWA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA ELIMU TANASHUKA SI TU KWA UKOSEFU WA VITU MUHIMU ILA TATIZO SASA NI KWA WAKUU WA SHULE. HII NI HATARI KWA TAIFA..
HII NI HATARI SANA IKIWA TAKWIMU ZA MAENDELEO YA ELIMU TANASHUKA SI TU KWA UKOSEFU WA VITU MUHIMU ILA TATIZO SASA NI KWA WAKUU WA SHULE. HII NI HATARI KWA TAIFA..