Wanafunzi Kenya wachoma moto mabweni 7 baada ya kunyimwa kuangalia mechi ya Ulaya

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,786
Hiyo ndiyo middle income country, hata critical thinking - sifuri! Sasa unachoma moto Shule ambayo inakusaidia wewe na watu wako kisa umekatazwa kumuangalia Mzungu kwenye TV, hiyo ni akili au matope?

 
Back
Top Bottom