Hiyo shule iko chini ya serikali ya ccm inayojinadi imenunua mandege,sgr,kujenga meli etcInasikitisha sana hadi sasa hivi hapa mjini Dar es Salaam kuna wanafunzi wa shule za msingi bado wanakaa chini hapa hapa mjini.
Ni aibu sana kusikia kwamba shule ya msingi Mbezi Luis wanafunzi hawana madawati.
Disclaimer: Picha sio ya shule iliyopo mjini
View attachment 1579456
Mbona kuna shule zina madawati huwa hamsemi? Hakuna taifa hapa duniani lililowahi kutatua changamoto za wananchi wake kwa mara moja (overnight)Inasikitisha sana hadi sasa hivi hapa mjini Dar es Salaam kuna wanafunzi wa shule za msingi bado wanakaa chini hapa hapa mjini.
Ni aibu sana kusikia kwamba shule ya msingi Mbezi Luis wanafunzi hawana madawati.
Disclaimer: Picha sio ya shule iliyopo mjini
View attachment 1579456
Kwanza kuwa na shule yenye jengo kaburiwazi km hilo ni uhayawani mkubwa sana, achilia kukosa madawati.Mbona kuna shule zina madawati huwa hamsemi? Hakuna taifa hapa duniani lililowahi kutatua changamoto za wananchi wake kwa mara moja (overnight)
Taratibu tutafika.
Miaka mingapi ya uhuru huduma za muhimu hazipo nawe uko busy kuandika utetezi wako? Ni watu kama wewe ndio mnaofanya wanasiasa wawe walivyo.Mbona kuna shule zina madawati huwa hamsemi? Hakuna taifa hapa duniani lililowahi kutatua changamoto za wananchi wake kwa mara moja (overnight)
Taratibu tutafika.
Unetumwa na nani kupotosha jamiiInasikitisha sana hadi sasa hivi hapa mjini Dar es Salaam kuna wanafunzi wa shule za msingi bado wanakaa chini hapa hapa mjini.
Ni aibu sana kusikia kwamba shule ya msingi Mbezi Luis wanafunzi hawana madawati.
Disclaimer: Picha sio ya shule iliyopo mjini
View attachment 1579456
Wacha kuruka ruka kama popcorn na kuita majina bila uhakika,,,,unadhani nimeota nikaandika? Haya wewe usie muongo unajua wanafunzi wanakaa chini?
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Ficha ujinga kijana.Mbona kuna shule zina madawati huwa hamsemi? Hakuna taifa hapa duniani lililowahi kutatua changamoto za wananchi wake kwa mara moja (overnight)
Taratibu tutafika.
Muongo Huyo hakuna mbezi shule ya msingi yenye jengo kama hill hiyo picha kaiokota mitandaoni akaitupia hapoNinafahamu ninachokiandika. Shule ya Msingi Mbezi Lous haina uhaba wa nadawati na hakuna mwanafunzi anayekaa chini. Acha kutafuta cheap popularity
Anaesema anafahamu hata idea ya kinachoendelea hana,endelea kubishana na ukuta sibishani na mazombie kama weweNinafahamu ninachokiandika. Shule ya Msingi Mbezi Lous haina uhaba wa nadawati na hakuna mwanafunzi anayekaa chini. Acha kutafuta cheap popularity
HainaAcha uongo. Mbezi Lous PS ina madawati yakutosha
Hata shule ya msingi msigani haina madawatiNinafahamu ninachokiandika. Shule ya Msingi Mbezi Lous haina uhaba wa nadawati na hakuna mwanafunzi anayekaa chini. Acha kutafuta cheap popularity
Kama waliokaa hapo sio wanafunzi WA mbezi basi mleta mada ni mchochezi. Mambo Hivyo mambosasa kamati huyuInasikitisha sana hadi sasa hivi hapa mjini Dar es Salaam kuna wanafunzi wa shule za msingi bado wanakaa chini hapa hapa mjini.
Ni aibu sana kusikia kwamba shule ya msingi Mbezi Luis wanafunzi hawana madawati.
Disclaimer: Picha sio ya shule iliyopo mjini
View attachment 1579456
Kama shule ina madawati ya kutosha utaisemea ili isaidiwe Nini? Ishu ya madawati kwa umri wa taifa yetu sio ya kuifumbia machoMbona kuna shule zina madawati huwa hamsemi? Hakuna taifa hapa duniani lililowahi kutatua changamoto za wananchi wake kwa mara moja (overnight)
Taratibu tutafika.