katika kudhihirisha kuwa watanzania sasa wanataka mabadiliko ya kweli,wanafunzi wa bunda wamemjibu salamu yake mama salma kikwete kwa alama ya V.Ikabidi amuulize mkuu wa wilaya kulikoni au wanafundishwa na walimu wao?
katika kudhihirisha kuwa watanzania sasa wanataka mabadiliko ya kweli,wanafunzi wa bunda wamemjibu salamu yake mama salma kikwete kwa alama ya V.Ikabidi amuulize mkuu wa wilaya kulikoni au wanafundishwa na walimu wao?
Safi saana, halafu huyu mama anashangaa nini? mmewe kafanya nini cha kuwapendeza wa Tanganyika? yeye ni nani mpaka awaulize walimu eti ndo mnavyowafundisha watoto? nchi hii bana hakuna mipaka ya madaraka? yeye walimu na ufundishaji wao unamhusu nini? yeye si waziri wa elimu au mkaguzi kilichompeleka pale angekifanya akaondoka si kudhaliluisha walimu. BIG up sana Kanda ya ziwa!!
Na bado, anafikiri hao watoto hawajui ugumu wa maisha uliosababishwa na serikali dhalimu ya mumewe???yeye ni mmoja wa watu wanaotafuna pesa za walipa kodi wa nchi hii kipuuzi kabisa, kutwa kiguu na njia, aende zake hukooo kwa chingaz wenzake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.