Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,720
- 21,779
mmh.. mambo mengine jamani; wanaume watano na wanawake watatu, wanatoka chuo kimoja na wako chumba kimoja. Well.. whats wrong with that? Kama walikuwa wameamua kupiga soga pamoja hadfi usiku wa manane? ngoja mshangae kumbe wengine walikuwa na vyumba vyao hapo hapo hotelini lakini walikuwa kwenye chumba cha mmoja/ baadhi yao wakipiga soga na kupanga mikakati hadi polisi walipoingilia kati.
mwana kijiji
pengine walikuwa wanafanya discussion watu wanawaonea wivu
wenzenu wameona rais wa nchi kila siku anakula kuku nje ya nchi na wao wakaenda zao dodoma kutanua kosa liko wapi jamani??
embu mjadala huu ufike mahali pake