Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

Wanafunzi saba wa chuo kikuu cha waislamu Morogoro wamekatisha masomo yao kwa kufukuzwa chuo hapo kwasababu mbalimbali, sita kati yao wamefukuzwa moja kwa moja wasirudi chuoni na mmoja amefukuzwa kwa muda wa muhula mmoja.

Akizungumza jana mara baada ya swala ya ijumaa iliyofanyika chuoni hapo, mwenyekiti wa kamati ya nidhamu chuoni hapo Sheikhe Abdul Kassim Jiba alisema wanafunzi hao wamefukuzwa kwa makosa tofauti ikiwemo ugomvi lakini wengi wao wamefukuzwa kwasababu ya mahusiano (Mapenzi).

Pia Shekhe Jiba alitumia muda huo kuwaasa wanafunzi chuoni hapo kufuata sheria za chuo ikiwa pamoja na kutojihusisha na masuala ya mapenzi ,pia hairuhusiwi kutembea au kukaa wawili mwanamke na mwanaume isipokuwa awepo mtu wa tatu.

Kwa mujibu wa sheria za chuo hicho ni kosa kwa mwanafunzi kuwa na mahusiano ya kimapenzi ukiwa chuoni au likizo nyumbani isipokuwa kwa mke au mume. Kama umeoa au kuolewa unatakiwa kuwasilisha cheti cha ndoa kwa uongozi wa chuo ili kutambua uhusiano wako.

My Take:
Vyuo vingine viige huu utaratibu ili kurejesha maadili kwa vijana wetu na kupambana na janga la vijana kujiingiza katika ngono.
Du hiki chuo kilifaa kiwe Saudia, sio TZ.
 
Wewe mwislamu una hasira na matusi sana. Jaribu ku control your emotions and anger towards Christians.
Control wewe kwanza. Maana kwa uwingi wa maneno kwenye biblia kuliko quran unataka kumaanisha kuwa biblia ni bora kuliko quran.
Sasa kwa nini hushangai hiyo idadi ya maneno kwenye biblia zinatofautiana kutoka toleo hadi toleo.
1. King james version in maneno 783,000
2. Internation version ina maneno 757,000
3. English version ina maneno 727,000
Hiyo ni mifano tu.
Sasa swali je hayo maneno yanayotofautiana ina maana kuwa kwenye version nyingine kuna maneno hayamo kulinganisha na version nyingine je yale maneno yaliyoondolewa yanapelekwa wapi?
Na je uelewa sasa hapo inakuwaje maana huku kwenye version hii maneno mengine hayapo huku version hii yapo.
Sasa inakuwaje kitabu cha Mungu kinakuwa kinatofautiana idadi ya maneno?
Fikiri kuanzia hapo.....acha mihemko!
 
Unafananisha biblia na quran ambavyo ni vitu viwili tofauti! Biblia ina vitabu jumla 66 vyenye roughly maneno 800000(laki 8),wakati Quran ina maneno kama 80000(Elfu 80) Kwahiyo siyo swala la kufananisha machungwa na machenza. Urefu wa Quran yote sawa na urefu wa vitabu vinne vya injili Mathayo, Luka, Marko na John.

Kukariri Quran siyo rocket science ni rahisi sana, kwa sababu vitabu vya quran ni vidogo kwa urefu...sawa na short stories Tu. Tofauti sana na biblia ambayo maandiko yake ni marefu. Kwahiyo, siyo kila andiko nitakuwa nimeliona ingawa mkristo na sidhani kama wewe unaweza kariri biblia kamwe. Hatahivyo, biblia halikuandikwa kwa ajili ya kukariri, bali kusoma na kuelewa kwa msaada wa Yehova Mungu muumba wetu.

Si mbaya ukayaweka hayo maandiko yanayo mkashifu Mungu kama unavyodai ili tujadili na kujifunza. Biblia inasema katika 2Timotheo 3:16 kwamba "Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu nalo ni lenye faida kwa kufundisha, kwa kukaripia, kwa kunyoosha mambo, kwa kutia nidhamu katika uadilifu"
Sasa kama unayo matusi anayotukanwa Mungu wetu Yehova, tafadhali yalete tuya sababu.
Hata sisi kama maneno yote ya mtume Muhammad na wafuasi wake na maneno ya Mungu yaani Quran vingewekwa kwenye ganda moja biblia ingeonakana ni kama kiberiti tu.
Huko kujigamba ulikojigamba eti biblia ina maneno laki 8 usingesema maana hadith za mtume peke yake yaani mafundisho ya Mtume peke yake ni zaidi ya maneno laki 8.
We hujui kitu nimekwambia. Nenda kalale uamke mapema uwahi kazini kesho.
 
Haya kama wewe siyo mpumbafu tafsiri 1Wakorintho 1:25.
Maana umesema biblia haikaririwi bali unapaswa uielewe.
Haya nieleweshe hilo andiko...
Mungu hatukanwi hapo na mtu yeyote. Kama ungesoma kuanzia mstari wa 19 ungeelewa muktadha na mazingira ya hiyo 1:25. Tatizo unachukua neno moja "Upumbavu" na ku conclude Mungu katukanwa!

1 Wakoritho 1:19-25

19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima, nami nitaikataa akili ya watu wenye akili.” 20 Yuko wapi mtu mwenye hekima? Yuko wapi mwandishi? Yuko wapi anayebishania maneno katika mfumo huu wa mambo? Je, Mungu hakuifanya hekima ya ulimwengu iwe upumbavu? 21 Kwa kuwa, katika hekima ya Mungu, ulimwengu haukumjua Mungu kupitia hekima yake, Mungu alipenda kuwaokoa wale wanaoamini kupitia upumbavu wa ujumbe unaohubiriwa 22 Kwa maana Wayahudi wanaomba ishara na Wagiriki wanatafuta hekima; 23 lakini sisi tunamhubiri Kristo aliyeuawa kwenye msalaba, kwa Wayahudi ni sababu ya kujikwaa lakini kwa mataifa ni upumbavu. 24 Hata hivyo, kwa wale walioitwa, Wayahudi na Wagiriki, Kristo ni nguvu za Mungu na hekima ya Mungu. 25 Kwa sababu kitu kipumbavu cha Mungu ni chenye hekima kuliko wanadamu, na kitu dhaifu cha Mungu ni chenye nguvu kuliko wanadamu."

Mungu anaiona hiyo “hekima” inayotokana na falsafa ya wanadamu kama upumbavu. Kwamba, upumbavu wa binadamu siyo sawa na upumbavu wa Mungu.
Paulo alikuwa akiwaubiria wagiriki Wakorithio ambao walikuwa wanafalsafa wakiamini kwamba yale aliyokuwa akihubiri Paul ni upumbavu. Lakini Paulo ndiyo akawajibu kwa andiko la 1Wakor1:25 kwamba, Ni upumbavu kwa kiumbe chochote kufikiri kwamba anayo hekima nyingi kuliko Mungu!
 
Control wewe kwanza. Maana kwa uwingi wa maneno kwenye biblia kuliko quran unataka kumaanisha kuwa biblia ni bora kuliko quran.
Sasa kwa nini hushangai hiyo idadi ya maneno kwenye biblia zinatofautiana kutoka toleo hadi toleo.
1. King james version in maneno 783,000
2. Internation version ina maneno 757,000
3. English version ina maneno 727,000
Hiyo ni mifano tu.
Sasa swali je hayo maneno yanayotofautiana ina maana kuwa kwenye version nyingine kuna maneno hayamo kulinganisha na version nyingine je yale maneno yaliyoondolewa yanapelekwa wapi?
Na je uelewa sasa hapo inakuwaje maana huku kwenye version hii maneno mengine hayapo huku version hii yapo.
Sasa inakuwaje kitabu cha Mungu kinakuwa kinatofautiana idadi ya maneno?
Fikiri kuanzia hapo.....acha mihemko!
Biblia ROUGHLY ina maneno 800000
Quran ROUGHLY maneno 80000

Sikusema biblia ni bora kuliko Quran! Mimi binafsi sihiamini lakini naeshimu wanao amini maana ni choice yao au urithi wao.
 
Hata sisi kama maneno yote ya mtume Muhammad na wafuasi wake na maneno ya Mungu yaani Quran vingewekwa kwenye ganda moja biblia ingeonakana ni kama kiberiti tu.
Huko kujigamba ulikojigamba eti biblia ina maneno laki 8 usingesema maana hadith za mtume peke yake yaani mafundisho ya Mtume peke yake ni zaidi ya maneno laki 8.
We hujui kitu nimekwambia. Nenda kalale uamke mapema uwahi kazini kesho.
Siyo kujigamba ndiyo hali halisi! Quran ni ndogo. Kwahiyo, inawezekana mtu yeyote kukariri. Hoja ni kukariri!
 
Hata sisi kama maneno yote ya mtume Muhammad na wafuasi wake na maneno ya Mungu yaani Quran vingewekwa kwenye ganda moja biblia ingeonakana ni kama kiberiti tu.
Huko kujigamba ulikojigamba eti biblia ina maneno laki 8 usingesema maana hadith za mtume peke yake yaani mafundisho ya Mtume peke yake ni zaidi ya maneno laki 8.
We hujui kitu nimekwambia. Nenda kalale uamke mapema uwahi kazini kesho.
Hatuzungumzii hadithi na maneno mengine ya mtume.
Tumaongelea kukariri na ukubwa wa biblia na quran.
The fact is Biblia ROUGHLY maneno 800000
Quran ROUGHLY maneno 80000
Ni swali ambalo wewe uliniuliza na nimekujibu. Sasa unakuwa mgomvi sheikh!
 
Hatuzungumzii hadithi na maneno mengine ya mtume.
Tumaongelea kukariri na ukubwa wa biblia na quran.
The fact is Biblia ROUGHLY maneno 800000
Quran ROUGHLY maneno 80000
Ni swali ambalo wewe uliniuliza na nimekujibu. Sasa unakuwa mgomvi sheikh!
Hata quran ingewekwa nyaraka zote ingekuwa kubwa kushinda biblia. Lakin kwa ukilaza wako hujui maana na neno Quran. Unadhani ndio maneno na mafundisho yote. Humo huwezi kukuta WARAKA WA MTYME MUHAMMAD KWA WATU WA MADINA. Upuuzi huo utaukuta kwenye biblia tu! Ambayo ndio unajivunia kuwa ina maneno menvi kulijo Quran kumbe maneno yamekiwa mengi kwa sababu ni menvine ni ya kipuuzi.
Mfano 1Wakorintho 15: 18-20
Kukariri means kuwwka kichani. Inakuuma siyo?
 
Hatuzungumzii hadithi na maneno mengine ya mtume.
Tumaongelea kukariri na ukubwa wa biblia na quran.
The fact is Biblia ROUGHLY maneno 800000
Quran ROUGHLY maneno 80000
Ni swali ambalo wewe uliniuliza na nimekujibu. Sasa unakuwa mgomvi sheikh!
Hata quran ingewekwa nyaraka zote ingekuwa kubwa kushinda biblia. Lakin kwa ukilaza wako hujui maana ya neno Quran. Unadhani ndio maneno na mafundisho yote. Humo huwezi kukuta WARAKA WA MTUME MUHAMMAD KWA WATU WA MADINA. Upuuzi huo utaukuta kwenye biblia tu! Ambayo ndio unajivunia kuwa ina maneno mengi kuliko Quran kumbe maneno yamekuwa mengi kwa sababu ni mengine ni ya kipuuzi. Mfano 1Wakorintho 15: 18-20
Kukariri means kuweka kichwani. Inakuuma siyo?
 
Hata quran ingewekwa nyaraka zote ingekuwa kubwa kushinda biblia. Lakin kwa ukilaza wako hujui maana ya neno Quran. Unadhani ndio maneno na mafundisho yote. Humo huwezi kukuta WARAKA WA MTUME MUHAMMAD KWA WATU WA MADINA. Upuuzi huo utaukuta kwenye biblia tu! Ambayo ndio unajivunia kuwa ina maneno mengi kuliko Quran kumbe maneno yamekuwa mengi kwa sababu ni mengine ni ya kipuuzi. Mfano 1Wakorintho 15: 18-20
Kukariri means kuweka kichwani. Inakuuma siyo?
Maalim unachekesha sana! Sijapinga kwamba Quran ingewekwa nyaraka zaidi ingekuwa kubwa kusinda biblia.
Of course, najua kwamba kuna hadithi za mtume Muhammad n.k. Na wala sijigambi juu ya ukubwa wa biblia.
Ila tu narudia tena, hoja yetu ni juu ya ukubwa wa biblia na quran au kitabu cha quran siyo hadithi, na uraisi wa kukariri quran kuliko biblia. Mbali na hayo, nilitegemea utalipokea jibu langu kulingana na maswali uliyoniuliza, lakini badala yake umekuwa ukinijibu kwa kutumia fimbo ya matusi kuni intimidate! Naamini uislamu haufundishi hivyo kutukana tukana tu.
 
Biblia inaukubwa gani mpaka usione hilo andiko? Acha uongo wako....
Sasa utajiitaje mkristo bila kujua biblia yote? Sisi tunaijua quran maandiko yote. Hakuna hata andiko moja hatulijui na maana zake. Ndio maana kwa kujifariji kwenu au kuona wivu kwa sisi kuijua quran ndio huwa mnasema TUMEKARIRISHWA. Yaani kukariri huko mnamaanisha hatuelewi lolote japo tunayajua maandiko yote lakini maana zake mnaona kama hatuzijui.
Ninayo maandiko mengi sana yanamkashifu Mungu kwenye biblia.....


Kabla nilikujibu kutokana na maswali hayo na nikaona vema nikujibu, maana hisingekuwa sahihi kukuacha bila majibu!
Sasa badala yake unafanya ugomvi, sheikh Malyenge!
 
Maalim unachekesha sana! Sijapinga kwamba Quran ingewekwa nyaraka zaidi ingekuwa kubwa kusinda biblia.
Of course, najua kwamba kuna hadithi za mtume Muhammad n.k. Na wala sijigambi juu ya ukubwa wa biblia.
Ila tu narudia tena, hoja yetu ni juu ya ukubwa wa biblia na quran au kitabu cha quran siyo hadithi. Na uraisi wa kukariri quran kuliko biblia! Mbali na hayo, nilitegemea utalipokea jibu langu kulingana na maswali uliyoniuliza, lakini badala yake umekuwa ukinijibu kwa kutumia fimbo ya matusi kuni intimidate! Naamini uislamu haufundishi hivyo kutukana tukana tu.
Weweeee
Quran na hayo maandiko mengine ni lazima uyaweke kichwani.
Kwa hiyo hakuna urahisi hapo maana idadi ya maneno ya Quran uiweke kichwani kisha maneno ya mafundisho mengine pia. Jumla unakuwa umeweka kichwani maneno mengi kuliko biblia maana mafundisho yote yanaenda pamoja.
Haya huo urahisi unatoka wapi?
Sikutukani sasa hivi maana umeanza kuelewa na umepunguza mhemko.
 
Weweeee
Quran na hayo maandiko mengine ni lazima uyaweke kichwani.
Kwa hiyo hakuna urahisi hapo maana idadi ya maneno ya Quran uiweke kichwani kisha maneno ya mafundisho mengine pia. Jumla unakuwa umeweka kichwani maneno mengi kuliko biblia maana mafundisho yote yanaenda pamoja.
Haya huo urahisi unatoka wapi?
Sikutukani sasa hivi maana umeanza kuelewa na umepunguza mhemko.
Labda hoja ya ziada. Wengi wamekuwa wakisoma maandiko fulani kwa kukariri bila kuelewa context ya maandiko.

Kusoma kunatia ndani kutafakari, kusababisha, kuelewa, kuchambua n.k.
Je, Kukariri kuna faida zaidi kuliko kusoma kwa kuelewa?
 
Labda hoja ya ziada. Wengi wamekuwa wakisoma maandiko fulani kwa kukariri bila kuelewa context ya maandiko.

Kusoma kunatia ndani kutafakari, kusababisha, kuelewa, kuchambua n.k.
Je, Kukariri kuna faida zaidi kuliko kusoma kwa kuelewa?
Huo ni upumbafu. Wanaowafuhumu wenzao huwa wamesoma kwa kukariri bila kuelewa context wanatumia kipimk gani? Utamjuaje mtu kakariri na si kwamba hajaelewa? Mfano Quran inatafsiri yake kabisa pale chini. Huhitaji kutumja akili zako kutafsiri andiko maana tayari tafsiri ipo pale. Sasa unataka mtu afanyeje?
 
Labda hoja ya ziada. Wengi wamekuwa wakisoma maandiko fulani kwa kukariri bila kuelewa context ya maandiko.

Kusoma kunatia ndani kutafakari, kusababisha, kuelewa, kuchambua n.k.
Je, Kukariri kuna faida zaidi kuliko kusoma kwa kuelewa?
Mimi nadhani wanaokariri ni wakristo maana kitabu chao hakijatafsiriwa. Kila mtu anatumia akili zake kuelewa.
 
Labda hoja ya ziada. Wengi wamekuwa wakisoma maandiko fulani kwa kukariri bila kuelewa context ya maandiko.

Kusoma kunatia ndani kutafakari, kusababisha, kuelewa, kuchambua n.k.
Je, Kukariri kuna faida zaidi kuliko kusoma kwa kuelewa?
Quran unatakiwa uisome yote na ufafanuzi wake bila kuongeza wala kupunguza neno.
 
Mtu na uchungu wako wa maisha kweli unaondoka kwenda kusoma hiki chuo cha walimu wa Madrasatul, afu unasema ajira hakuna mtaan
 
Quran unatakiwa uisome yote na ufafanuzi wake bila kuongeza wala kupunguza neno.
Lugha yeyote inapotafsiriwa lazima iwe na utofauti kidogo, siyo jambo la ajabu. Ndiyo maana leo hii ilipotafsiriwa quran katika kiingereza na mascholar wenu, nyingi zilitofautiana.

Tafsiri nyingi za Quran zina nyongeza na utofauti!
Tafsiri nyingi ya quran za kiingereza zina nyongeza na utofauti!
Tafsiri nyingi za quran za kiswahili zina nyongeza na utofauti!

 
Back
Top Bottom