Wanafunzi 7 Wafukuzwa Chuo Kikuu Cha Kiislamu Morogoro kwa kujihusisha na Mapenzi

Mou huandikwa na went elimu, ndo mliandikiwa mou mkapewa chuo bure- shame upon you, Sasa mnajishaua kuwa mnajua kutunza maadili. Subirini kidogo mtaongezewa chuo kingine, si unaona Sasa hivi mwajengewa ofisi ya bakwata!!
Ewe mgalatia usiye na akili ni nani aliyekuroga?
 
Vp wakristo wanarhusiwa kusoma hapo
Mtu ambaye siyo muislamu sidhani kama inawezekana kusoma hapo. Vyuo kama hivyo, maranyingi vinakuwa na sheria za kiislamu na mafundisho ya kiislamu ambayo ni compulsory kwa wanafunzi.
 
Mmesha unajisi uzi huu. Hivi Mmubiayi Said "UKIWA UNAPATA YALE MAMBO YAKO UNATOAGA MBEGU KWELI" bi maana, athari za kuvuta BANGI isiyochambuliwa vizuri zimechomoza sana kwenye michango yako hapa JF
 
Mmesha unajisi uzi huu. Hivi Mmubiayi Said "UKIWA UNAPATA YALE MAMBO YAKO UNATOAGA MBEGU KWELI" bi maana, athari za kuvuta BANGI isiyochambuliwa vizuri zimechomoza sana kwenye michango yako hapa JF
Sijaelewa ulicho andika mkuu! Tueleweshane vizuri.
 
Bila shaka MUM haipo kwa ajili ya kufurahisha matamanio ya kila mtu,wanaokichukia ni wengi na wa kila aina hivo mtaandika hapa vile mnaweza adi vidole vitoke damu lakini hakuna mwenye kukizuia kutekeleza sheria zake ilizoziweka. MUM itaendelea kuwepo hadi pale ALLAH akishushe kwa matakwa yake ila sio mm na ww tunaofikir kufanya ngono/uasherati/umalaya ni haki za binadam ALLAH akilinde chuo hiki dhidi ya watu wenye HUSDA.
 
Nasoma ndugu yangu. Neno la Mungu hilo kama jinsi ilivyo Quran tukufu. Au unafikiriaje? Pia, sijawahi ona andiko linasema Mungu ni dhaifu..biblia ni kubwa! Unaweza kunisaidia kama Mungu dhaifu.
Biblia inaukubwa gani mpaka usione hilo andiko? Acha uongo wako....
Sasa utajiitaje mkristo bila kujua biblia yote? Sisi tunaijua quran maandiko yote. Hakuna hata andiko moja hatulijui na maana zake. Ndio maana kwa kujifariji kwenu au kuona wivu kwa sisi kuijua quran ndio huwa mnasema TUMEKARIRISHWA. Yaani kukariri huko mnamaanisha hatuelewi lolote japo tunayajua maandiko yote lakini maana zake mnaona kama hatuzijui.
Ninayo maandiko mengi sana yanamkashifu Mungu kwenye biblia.....
 
Nasoma ndugu yangu. Neno la Mungu hilo kama jinsi ilivyo Quran tukufu. Au unafikiriaje? Pia, sijawahi ona andiko linasema Mungu ni dhaifu..biblia ni kubwa! Unaweza kunisaidia kama Mungu dhaifu.
Maandiko yapo anza na hili:
Wakorintho wa kwanza 1:25.
 
FAMILIA YENYE MIZOZANO

Simulizi la Biblia kuhusu familia ya Yakobo linaonyesha waziwazi matokeo mabaya ya familia yenye wake wengi, zoea ambalo Mungu aliruhusu miongoni mwa watu wake mpaka Mwana wake Yesu aliporudisha kiwango cha kwanza cha ndoa yenye mke mmoja. (Mathayo 19:4-6)

Yakobo alikuwa na angalau watoto 14 waliozaliwa na wanawake wanne tofauti, wake zake wawili, Lea na Raheli, na wajakazi wao, Zilpa na Bilha. Tangu mwanzoni, Yakobo alimpenda Raheli aliyekuwa mrembo. Hakumpenda sana Lea, dada mkubwa wa Raheli, ambaye Yakobo alidanganywa ili amwoe.

Wanawake hao wawili walichukiana, na kuoneana wivu sana. Wivu huo ulienea pia kati ya watoto wao. Kwa ufupi, haikuwa mpango wa Mungu watu kuoa wake wengi, ila aliruhusu kutokana na ugumu wa binadamu. Alipokuja Yesu duniani, akaondoa kuoa wake wengi.
Mwanzo 29:16-35;30:1, 8, 19, 20
Mwanzo37:35.
yesu ameondoa wapi kuoa wake wengi? tafadhali weka maandishi kuthibitisha hili.
 
Hapo kwenye 2 Timotheo 3:16 kuna contradiction. Mungu mwenyewe ni ROHO sasa iweje tena Mungu awe na roho ambayo ikuongoze kulielewa neno la Mungu?
Rudi darasani....
Hujui kitu.
Roho ya Mungu ni active force ya Mungu. Hiyo active force ndiyo imekuumba wewe pia.
 
Roho ya Mungu ni active force ya Mungu. Hiyo active force ndiyo imekuumba wewe pia.
We jsmaa mbona mjinga hivyo? Mimi nimekupa elimu kwamba Mungu mwenyewe ni roho......
Haiwezekani ndio awe na roho......
Maana yeye mwenewe ndio roho.
Sasa kwa upumbafu wako umekurupuka na kuleta habari ya active force iliyoniumba mimi. Kwani kuna mahali nimekataa sijaumbwa na Mungu mpaka ulete hiyo statement? Mbona wakristo huwa hamjui kujieleza kwa mtiririko unaohusiana na kitu kinachozungunziwa?
We vipi?
 
Ukiona sheria huziwez chagua chuo kingine, Tanzania ya sasa sio ile ya vyuo viwili ila wanafanya vyema sana, na mnaopinga hapa mtuambie tu kuwa mnapinga maagizo ya Mungu kupitia vitabu vyake vitakatifu Quraan na Biblia
 
Back
Top Bottom