Chipolopolo
JF-Expert Member
- Feb 14, 2012
- 1,425
- 725
Serikali kupitia wizara husika imetangaza mpango wa wanafunzi 5000 waliomaliza kidato sita kujiunga na Jeshi la Kujenga Taifa kwa mujibu wa sheria, kama ilivyokuwa hapo awali kabla ya mpango huo kusitishwa. Lengo ni kuwajengea uzalendo, ukakamavu na mengineyo
Wanafunzi hao 5,000 ni kati ya 40,000 waliohitimu hivi karibuni.Kwa maana nyingine wameachwa wanafunzi 35,000. Iwapo hao 5,000 watajiunga na jeshi hilo, miongoni mwa 35,000 wenye matokeo mazuri wataendelea na masomo katika ngazi mbalimbaliiploma, Shahada nk.
Moja ya maswali ya kujiuliza: Je, serikali haoni kama itakuwa imewaonea hao walioteuliwa kwenda kupiga kwata kwa takribani mwaka mzima wakati wenzao wakiendelea na masomo...?
Wanafunzi hao 5,000 ni kati ya 40,000 waliohitimu hivi karibuni.Kwa maana nyingine wameachwa wanafunzi 35,000. Iwapo hao 5,000 watajiunga na jeshi hilo, miongoni mwa 35,000 wenye matokeo mazuri wataendelea na masomo katika ngazi mbalimbaliiploma, Shahada nk.
Moja ya maswali ya kujiuliza: Je, serikali haoni kama itakuwa imewaonea hao walioteuliwa kwenda kupiga kwata kwa takribani mwaka mzima wakati wenzao wakiendelea na masomo...?