Andrew Nyerere
JF-Expert Member
- Nov 10, 2008
- 3,007
- 2,429
Wale wanachuo wanaanza kuhojiwa mmoja mmoja to determine what should be done with them. Mi najiuliza,Can you get someone to testify against them?
Hata yule mwanafuni aliyesema kwamba aliwaona wanafanya fujo,ukimpeleka atoe ushahidi, when push comes to shove, akielewa kwamba ushahidi wake unaweza kusababisha mwenzake afukuzwe; will he give adverse testimony? Or can he be convinced to say whaever is needed to make sure his fellow students are set free?
Whatever the outcome of this,kwa hawa wanafunzi 40,na wale watatu walio Mahakamani,wale watakaotoa ushahidi wanayo responsibility kubwa.
Sjeria zanamlinda mtu asitishwe wakati anatoa ushahidi.
Lakini,when the excitement of the event is over,hakuna mtu analazimishwa kuzungumza maneno ambayo he is not convinced about any more.
Hata yule mwanafuni aliyesema kwamba aliwaona wanafanya fujo,ukimpeleka atoe ushahidi, when push comes to shove, akielewa kwamba ushahidi wake unaweza kusababisha mwenzake afukuzwe; will he give adverse testimony? Or can he be convinced to say whaever is needed to make sure his fellow students are set free?
Whatever the outcome of this,kwa hawa wanafunzi 40,na wale watatu walio Mahakamani,wale watakaotoa ushahidi wanayo responsibility kubwa.
Sjeria zanamlinda mtu asitishwe wakati anatoa ushahidi.
Lakini,when the excitement of the event is over,hakuna mtu analazimishwa kuzungumza maneno ambayo he is not convinced about any more.