Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Wachapweeeeee kisha warudi shule..Wafidie hasara
Gari la mwalimu je???Brother hawa 22 tunaojadili hapa eti wamezuiwa kabisa kufanya mtihani kwa kile kinaitwa ndiyo waliondaa hizo fujo. Zaidi ya hapo wamepewa jinai polisi Kishapu.
Unajua binafsi imenifikirisha mno,hivi makosa ya watoto shuleni yote yakifuatiliwa ktk misingi ya kijinai si ni lazima yatasomeka jinai tu!!!? Uamuzi wa hasira tu umefanywa.
Police anapigwa police wa wapi uyo?Miaka kadhaa nyuma pale magambani tulifanyaga mgomo kufuru pamoja na kuwapiga polisi kadhaa,Aisee asubuhi yake alikuja DC na OCD na kutupiga 'mkwara' mzito,Uzuri ni kua sisi kidato cha sita ambao tulikua wahanga wa huo mgomo tulibakiza 2 weeks kwenda NECTA, Madogo tuliowaacha waliishi kwa heshima na adabu aisee..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes CROWD PSYCHOLOGY ni mbaya sana na ni dalili ya mtu ambaye hajajitambua bado.Nilikua mkorofi shuleni, nilikua nahamasisha migomo lakini baadae nilikuja kugundua kua ule ni ujinga na najuta sana ila nashukuru head master wangu kunihurumia hadi nikafanya mtihani na hadi leo niko huku na kazi yangu ya kuokota makopo na naipenda.
Utovu wa nidhamu shuleni hauna utetezi.
I feel sorry kwa hao watoto lakini ujinga na utovu wa nidhamu haukubaliki.