Wanafunz 8 ambao walikamatwa na Polis wakiwa wamelala kwenye nyumba ya kulala wagen ya Vatican huko mkoani dodoma inasemekana kuwa walikuwa ni wageni wa waziri wa Elim dr Kawambwa,,,,,,,,,
Wanafunz hao ambao wengine ni viongoz wa serikali ya Wanafunz wa chuo cha Ustawi wa jamii wanasema kuwa wao walikwenda Dodoma kwa lengo la kumuona wazir ili kujadili mustakabal wa Matatzo ya wana USTAWIIII.......
Wanafunz hao ambao wengine ni viongoz wa serikali ya Wanafunz wa chuo cha Ustawi wa jamii wanasema kuwa wao walikwenda Dodoma kwa lengo la kumuona wazir ili kujadili mustakabal wa Matatzo ya wana USTAWIIII.......