TEAM 666
JF-Expert Member
- Dec 7, 2017
- 4,330
- 8,421
Habari wakuu
Kweli wanajitahidi kutulea mabadiliko makubwa lakini kwenye hili wamefell vibaya kutuletea I phone 12 kipindi kifupia baada ya I phone matolea ya nyuma yake bado yanauzika na ndio dreams kwa wengi zaidi kuyanunua hakuna utofauti mkubwa kwenye toleo ilo
Hata ukija kwenye hizi gari zinakuja na matoleo yakufanana sana land cruiser la mwaka 2017 na mwaka 2010 ukiangalia utofauti ni mdogo sana kwa muonekano wa nje labda ni zile taa za mbele ndiyo zimeondoa mfanano
Kweli wanajitahidi kutulea mabadiliko makubwa lakini kwenye hili wamefell vibaya kutuletea I phone 12 kipindi kifupia baada ya I phone matolea ya nyuma yake bado yanauzika na ndio dreams kwa wengi zaidi kuyanunua hakuna utofauti mkubwa kwenye toleo ilo
Hata ukija kwenye hizi gari zinakuja na matoleo yakufanana sana land cruiser la mwaka 2017 na mwaka 2010 ukiangalia utofauti ni mdogo sana kwa muonekano wa nje labda ni zile taa za mbele ndiyo zimeondoa mfanano