Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
Pamoja na lawama kwa serikali, nadhani watanzania tuna ushamba au ulimbukeni juu ya mambo, dunia kwa sasa ni kama kijiji, kuna matukio tunaweza kuyaangalia tukiwa majumba i mwetu lakini myu mwenye akili timamu anabeba watoto na kuwapeleka kwenye mazingira hatarishi kama yaleKuna umuhimu kwa familia za wahanga wote kulipwa fidia na serikali. Wangefuata taratibu sahihi za miaka yote za kuwaaga viongozi wa kitaifa, haya yote yasinge tokea.