Wakuu,naomba msaada wa kujuzwa ktk hili:Unakuta mtu anaazisha blog,mf.Hii hapa o Mjengwa,n.k.Anafaidikaje coz inabidi awekeze kwenye,human resourc.,financially position,digtal eguipments e.t.c.Faida anaipataje?Kuna ruzuku au ndo ile ya u famous kwenye jamii?asante kwa kunielimisha ktk ilo