Wanadamu tujifunze kuwa wastaarabu

Nakwede hujawah fanya haya mambo ww!?😅😅...mbona easy sana best?hahhaa ..hujawh bakiza msos ukasepa nao!huyo ni km.kabakiza msos ila akaufanyia exchange rate😅
hahahah, unajua nilichoshangaa ni vile alivyopata ujasiri wa kubadilisha na kuchukua hela.
hahahah, si angeniambia mie nakunywa moja tu!
Au hata alivyopata ile si ange deshi kunipa mwenye bia zake. hahahahhahha, lakini mrembo alifungua handbag na kuweka, hapo hapo nikasikia tu "byeeee" hahahahahhahaaah. Halafu sio kwamba ana uchumi wa kuyumba! tehe tehe tehe.
 
hahahah, unajua nilichoshangaa ni vile alivyopata ujasiri wa kubadilisha na kuchukua hela.
hahahah, si angeniambia mie nakunywa moja tu!
Au hata alivyopata ile si ange deshi kunipa mwenye bia zake. hahahahhahha, lakini mrembo alifungua handbag na kuweka, hapo hapo nikasikia tu "byeeee" hahahahahhahaaah. Halafu sio kwamba ana uchumi wa kuyumba! tehe tehe tehe.


Hahaha usiusemee moyoo😅!life changes!
 
Back
Top Bottom