Small Boy
Senior Member
- Jul 12, 2007
- 142
- 38
Wanafunzi 3 wa chuo kikuu Muhimbili wamekufa maji jana jioni wakati wakiogelea kwenye ufukwe wa Geza Ulole huko KIgamboni.
Wanafunzi hao ni:
Issa Kennedy MD mwaka wa nne
Khatibu Mzee MD mwaka wa pili
Abdalah omary Msangi MD mwak wa pili
Wote ni wanafunzi wa udaktari na kwa mujibu wa taarifa toka chuoni hapo, wanafunzi wawili, ndio waliozama kwanza na ndipo Isaa akaamua kwenda kuwaokoa wenzake bila mafanikio hali iliyopelekea mauti ya wote watatu.
Tayari mmoja wa marehemu amesafirishwa kwenda Zanzibar kwa maziko nyumbani kwake, mwingine atasafirishwa jioni ya leo kwenda Mwanga kwa maziko na aliyebakia atazikwa hapa Dar
Wanafunzi hao ni:
Issa Kennedy MD mwaka wa nne
Khatibu Mzee MD mwaka wa pili
Abdalah omary Msangi MD mwak wa pili
Wote ni wanafunzi wa udaktari na kwa mujibu wa taarifa toka chuoni hapo, wanafunzi wawili, ndio waliozama kwanza na ndipo Isaa akaamua kwenda kuwaokoa wenzake bila mafanikio hali iliyopelekea mauti ya wote watatu.
Tayari mmoja wa marehemu amesafirishwa kwenda Zanzibar kwa maziko nyumbani kwake, mwingine atasafirishwa jioni ya leo kwenda Mwanga kwa maziko na aliyebakia atazikwa hapa Dar