Wanachuo wakitanzania wanaosoma Algeria na China wanataabika sana

cosa nostra

JF-Expert Member
Sep 17, 2010
1,773
1,801
Nachukua nafasi hii kuiomba board ya mikopo kuwatupia jicho la tatu watoto walio kubari kwenda kusoma nchi za Algeria na China,Kuwasaidia haraka sana,

Maisha ya nje ni magumu sana hasa kwa watoto wa masikini wanaotegemea boom hilo kwa ajili ya kujikimu kwa maisha ya kila siku

Hali ya maisha nchi hizi ni ngumu nitofauti sana na Europe au USA ambapo unaweza pata ajira ndogo ndogo ukasukuma maisha.


Ninahofu wanaweza kuingia kwenye hali ngumu na kushawishika kuishi kinyama na kuharibu jina la nchi yetu.na pia kupoteza uwezo wa kusoma na future yao.

Wapo watoto wa matajiri ambao wazazi wao wanaweza kuwasupport lakini pia kuna kundi kubwa la makapuku,hili kundi ndio lina nitia wasiwasi.


Waangaliwe kwa upekee vijana hawa.
 
Nachukua nafasi hii kuiomba board ya mikopo kuwatupia jicho la tatu watoto walio kubari kwenda kusoma nchi za Algeria na China,Kuwasaidia haraka sana,

Maisha ya nje ni magumu sana hasa kwa watoto wa masikini wanaotegemea boom hilo kwa ajili ya kujikimu kwa maisha ya kila siku

Hali ya maisha nchi hizi ni ngumu nitofauti sana na Europe au USA ambapo unaweza pata ajira ndogo ndogo ukasukuma maisha.


Ninahofu wanaweza kuingia kwenye hali ngumu na kushawishika kuishi kinyama na kuharibu jina la nchi yetu.na pia kupoteza uwezo wa kusoma na future yao.

Wapo watoto wa matajiri ambao wazazi wao wanaweza kuwasupport lakini pia kuna kundi kubwa la makapuku,hili kundi ndio lina nitia wasiwasi.


Waangaliwe kwa upekee vijana hawa.
labda iombe serikali ya awamu ya 6
 
Wengi wanaotegemea kusoma kwa mkopo nje ya nchi wanapata shida sana. Miaka ya JK nakumbuka kuna jamaa zangu walikuwa Moscow, walikuwa wanaishi kwa shida sana at times, waliweza kusubiri boom hadi miezi miwili hola. Nikawashauri wapige mzigo wajitafutie pesa walipe fees na accommodations..ikija boom poa, lisipokuja maisha yaende, naamini wananishukuru kwa hilo.
 
Wengi wanaotegemea kusoma kwa mkopo nje ya nchi wanapata shida sana. Miaka ya JK nakumbuka kuna jamaa zangu walikuwa Moscow, walikuwa wanaishi kwa shida sana at times, waliweza kusubiri boom hadi miezi miwili hola. Nikawashauri wapige mzigo wajitafutie pesa walipe fees na accommodations..ikija boom poa, lisipokuja maisha yaende, naamini wananishukuru kwa hilo.
its hard sana living abroad in those socialist countries kazi zenyewe hazili kiivyo,nina rafiki yangu kasoma China anasema alisota sana
 
its hard sana living abroad in those socialist countries kazi zenyewe hazili kiivyo,nina rafiki yangu kasoma China anasema alisota sana
Sio kweli, labda huko China. In Moscow now uwe mvivu tu, hata miji midogo watu walio determined wanapiga kazi na kujisomesha bila shida. Binafsi nilivyoona mambo ya mikopo yanazingua I worked for my pocket money, accommodations, tuition fees na nilisoma bila shida.

You just need to be determined...
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom