..sijui elimu yake ni ndogo au ndiyo ameshiba propaganda.
..kwa kawaida vijana wa umri mzungumzaji kwenye video hupenda sana kuhoji na kuchambua masuala mbalimbali na siyo kumeza kila anachopewa kama inavyoonyesha kwa huyu kijana.
..kama vijana walio wengi upeo wao wa kufikiri ni kama huyu mzungumzaji kwenye video, maana yake ni kwamba Tanzania ina wazee wengi kuliko vijana.
..kwa kawaida vijana wa umri mzungumzaji kwenye video hupenda sana kuhoji na kuchambua masuala mbalimbali na siyo kumeza kila anachopewa kama inavyoonyesha kwa huyu kijana.
..kama vijana walio wengi upeo wao wa kufikiri ni kama huyu mzungumzaji kwenye video, maana yake ni kwamba Tanzania ina wazee wengi kuliko vijana.