Wanachit chat tafadhali

mchakavumlasana

JF-Expert Member
Mar 9, 2011
389
212
..............Natumaini wote ni wazima, mkiendelea vyema na maandalizi ya weekend....

mie nimepita tu kuwasalimu.....

na salamu za pekee ziwaendee wapendwa wote wavaa boxer wa jf...hususan
Arushaone
figganigga
Erickb52
Asprin
SnowBall
BAK
Saint Ivuga
Dark City (hakuna tanesco kuangaza?)
Baba V
Chimbuvu
Mtambuzi
TANMO
PakaJimmy
St. Paka Mweusi
Bujibuji
mtu chake
Mlachake
Mbuzi Mzee
MUSSOLIN
KakaKiiza
watu8
eliah G

bila kusahau wavaa madera
Kongosho
snowhite
Madame B
@fp
Maj
Natalia
lara 1
Mama v
cacico
amu
Zinduna
afrodenzi
Preta
charminglady
sweetlady

na wengineo woooooooooooooooote wale mtakaoumizwa mioyo wikiendi poleni
 
Last edited by a moderator:
Aisee,
Naona sasa hivi naanza kuzoeleka Chit-Chat against my wish....!
Naomba ishu zote zinazonihusu huku chit-chat aambiwe Madame B, maana tumeunga uhusiano wa karibu, na anajua jinsi ya kunifikishia taarifa zote hata usiku wa manane!
Filipo
sweetlady, marejesho Mungi, Erickb52, Arushaone, msinitajetaje huku bana, mimi sitaki kusutwa umri huu!
 
Last edited by a moderator:
Aisee,
Naona sasa hivi naanza kuzoeleka Chit-Chat against my wish....!
Naomba ishu zote zinazonihusu huku chit-chat aambiwe Madame B, maana tumeunga uhusiano wa karibu, na anajua jinsi ya kunifikishia taarifa zote hata usiku wa manane!
Filipo
sweetlady, marejesho Mungi, Erickb52, Arushaone, msinitajetaje huku bana, mimi sitaki kusutwa umri huu!

utajibeba.......ndio umeshakolea.....
karibu mwaya mchakavumlasana jimboni kwangu......w/end hii waziri wa mambo ya ndani atakuwepo.....
 
Last edited by a moderator:
Aisee,
Naona sasa hivi naanza kuzoeleka Chit-Chat against my wish....!
Naomba ishu zote zinazonihusu huku chit-chat aambiwe Madame B, maana tumeunga uhusiano wa karibu, na anajua jinsi ya kunifikishia taarifa zote hata usiku wa manane!
Filipo
sweetlady, marejesho Mungi, Erickb52, Arushaone, msinitajetaje huku bana, mimi sitaki kusutwa umri huu!

Sawasawa baelezee kbs,usije kunikosa kule Tanga maana Filipo nae anataka alale na mimi.
 
Last edited by a moderator:
marhabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kuna mtu anaitwa Boflo nae umemsalimia au ndo kusema hujui umueweke kundi la boxer au dera!aahahhahahhahhahah
mi jina lako tu!
 
Last edited by a moderator:
marhabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
kuna mtu anaitwa Boflo nae umemsalimia au ndo kusema hujui umueweke kundi la boxer au dera!aahahhahahhahhahah
mi jina lako tu!

Nashukuru mimi sikokwenye hilo kundi boxer nasikia ni hatari.. kweli

mzima Mwaaaaalim?? TUISHENI TASAVALI
 

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom