xaverypeter
Member
- Nov 2, 2011
- 45
- 18
Huyu dogo anatafuta cheo kipumbavu sana,anajipendekeza kwa kina Mrisho Gambo mpaka anatia kinyaa!!Anasahau kuwa yeye ni mtumishi wa umma asiyepaswa kujiingiza katika hizi siasa,ujinga alionao,baada ya huu uzi,katawanya kwenye makundi ya whatsApp ya viongozi ili wamsifie
Halafu anafikiri ukatibu tarafa ni kazi kuuuuubwa sana...Aliipata kwa mgongo wa ndugu yake Dr Tizeba
Wewe ulitaka ajikombe kwa Chadema chama cha watetezi wa wauza unga na wanywa viroba? Anatekeleza kazi zake