Egnecious
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 875
- 960
"Wanachama wawe wabunifu kuhusu namna ya kuendesha Chama bila gharama kubwa na kuendesha Chama kwa kutumia nguvu zao wenyewe, ili chama hiki kiweze kutumikia watu wote badala ya kuendeshwa na watu wachache wenye uwezo"
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally tarehe 1 Novemba, 2019 akizungumza na waandishi wa habari alipozindua vyombo vya Muziki vya Bendi ya Chama TOT, Lumumba Jijini Dar es salaam.
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally tarehe 1 Novemba, 2019 akizungumza na waandishi wa habari alipozindua vyombo vya Muziki vya Bendi ya Chama TOT, Lumumba Jijini Dar es salaam.