DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wanapata tabu kuelewa kuwa ktk kamati kuu yenye watu wanaojiita makini kama Nape na Jakaya ambapo pale strategy nyingi za kuwashughulikia opposition hupangwa..BW.SHIBUDA KATOKA WAPI HUMO NA KAPEWA KUHUTUBIA MLE KAMA NANI NA KATIBA AMA KANUNI IPI YA CCM INARUHUSU?
Wanataka msimamo wa NAPE huku wakikinanga chama chao kuwa kumtumia SHIBUDA kukisambaratisha chadema ni kupoteza dira kwani mbunge huyo ameshaisha kisiasa na huwa anaonekana hamnazo.
Wanataka msimamo wa NAPE huku wakikinanga chama chao kuwa kumtumia SHIBUDA kukisambaratisha chadema ni kupoteza dira kwani mbunge huyo ameshaisha kisiasa na huwa anaonekana hamnazo.