Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Wanachama wa chama cha Mapinduzi ccm wameandamana mkoani Mwanza kupinga mgomo Wa madaktari unaoendelea hivi sasa hapa nchini mwetu na kuwataka madaktari waache migomo na kurudi kazini kwa ajili ya uwajibikaji kwa Watanzania wanaongamia kwa sasa kutokana na mgomo wao(Madaktari)
Soosss!
Star Tv Mwanza.
Soosss!
Star Tv Mwanza.