Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,871
- 15,174
Tushawazoea na mikwara mbuzi yenuHamna shida. Kitaeleweka tu
Tushawazoea na mikwara mbuzi yenuHamna shida. Kitaeleweka tu
Mawazo finyuTumewazoea na Matamko na tabiri zenu kila siku zisizotimia.
People's power lazima iheshimiwe. Uchaguzi umefanyika salama kabisa,Pia kula zinahesabiwa mbele ya mawakala wenu,
Kwahiyo CHADEMA mlitegemea mtaishinda katika Uchaguzi huu??
I think you are too disappointed, Sababu mlikuwa na matarajio makubwa bila strategies zozote.
Mawazo finyuNyie ni Wapumbavu sana, Dunia nzima inaelewa na inathamini mchango na uongozi wa Magufuli. Hicho kipindi kigumu unachosemea umekaririshwa tu, miaka mitano iliyopita tuli survive vipi?, Au ulikuwa nje ya nchi?
Umiza kichwa maisha ndo yalivyo, hakuna Rais atakayekuja kuwaletea mkate mezani. Upinzani wa kupinga kila kitu bora utokomee kuzimu tu. Mmedanganywa na wanasiasa eti tunataka maendeleo ya watu sio vitu na nyie mkazungusha viuno.
Ila nawashukuru sana wananchi sio wajinga wamewanyoosha kwenye box la kura na huyo mnyoa panki wenu. Narudia wananchi sio wajinga wanaona aliyoyafanya Magu heshima ya mwananchi wa kawaida umerudi kipindi hiki cha Magu. Watu wamesogezewa huduma muhimu nyie mnabeza eti maendeleo ya vitu, nani awape kura?
Ngoja tuoneLeo naona wazee wa mihemko wanalialia tuu...CCM ni chama kikubwa " If you can't fight them,Join THEM"
Congratulations in advance President Magufuli
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kijana hivyo vinyumba na kagari ulichonacho sio kitu kupotea ni maramoja sasa kuja kuvirudisha kwa mfumo huu mpya itakuwa kazi Omba sana Mungu acha majivunoMimi bado kijana mdogo, around 31. Nimeanza kujitegemea 2015. Nishajenga dar na nina usafiri wa uhakika. Ni mtumishi wa umma. Hivyo sina maisha magumu kivile.
Nimezungumza kwaajili ya umma wa Kitanzania
Moderator wanachangia wanaban baadhi ya habarJukwaa limepoa Sana leo
Leo wamepewa elfu kumi kumi na wengine elfu 5 kata za Dar es salaam wakishangilia upuuziHaiwajahi kutokea wakata viunu wakajiuliza ama kuyawaza hayo Mkuu zaidi ya kushangilia na kupiga vigelegele...
Hayo ulotaja yakidhihiri, umri mrefu utatoka wapi?Uzuri ni kwamba kikotoo kitatafuna wote..ikitokea ugumu utatafuna wote ..ikitokea vikwazo tokea mataifa ya magharibi itatafuna wote .
Tuombe uzima na umri mrefu
Watz wanaipenda sana ccmHabari,
Kuna watu wanajua ila wanajisahaulisha kuwa nchi za Magharibi ndizo zinazotusogeza mbele au kutusapoti kwenye sekta ya Afya na Elimu kwa kiasi kikubwa.
Hii iko wazi miaka na miaka.
Watu wa Magharibi hakuna kitu wanajali kama Demokrasia ambayo imeminywa kwa miaka 5 yote ya Magufuli. Akaachia miezi 2 ya campaign na jana umefanyika uchaguzi wa kiini macho.
CCM wameshinda kwa kishindo. Hiki kishindo haramu kitawafikia sponsors huko Ng'ambo na ndipo watajitoa kusapoti mambo muhimu. Hapo tutaanza kuuziwa huduma zote za afya kwa bei kamili. Hapo ndipo elimu yetu itatikisika.
Uchumi utayumba, hapa mwananchi wa kawaida, mtumishi wa umma wa kawaida, mfanyabiashara mdogo na wa kati, mkulima n.k lazima ataisoma.
Tushangilie na kupongezana ila tutambue kuwa kikija kipindi kigumu hao viongozi wakuu hawatapata taabu.
Hayo ulotaja yakidhihiri, umri mrefu utatoka wapi?