CUF Habari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 239
- 234
Makamo mwenyekiti wa jumuiya wa wanawake CUF taifa mhe. Kiza mayeye ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la kigoma kaskazini, mapema leo amefika katika ofisi za msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo la kigoma kaskazin na kupewa fomu ya uteuzi.
Pia mhe. Kiza amesema kuwa Jimbo la kigoma kaskazin bado linachangamoto kubwa ya maji Safi na salama na miundombinu sio mizuri mpaka hivi Leo hivyo amesema kuwa akichaguliwa kuwa mbunge atahakikisha changamoto hizo anazitatua kwa kipindi Cha mda mfupi Sana
Pia alipata fursa ya kufunga matawi baada ya kuchukua fomu alifanya ziara ya kufungua matawi na kutenbelea matawi mbali mbali ya chama katika Jimbo hilo