Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
Kwa Habari za Uhakika toka Kwa Mwenyekiti wa CHADEMA Kata ya Ushirika Wilaya ya Mbogwe Mkoa Mpya wa Geita Bw. DEOGRATIUS PHILIPO SHAYO 0757416254/0688416254 Zinasema Wafuasi.
Wakereketwa na Wanachama wa Chama chake anachokiongoza (Chadema) Wanateswa na Kunyanyaswa Vibaya sana na Jeshi la Polisi Kwa Kushirikiana na Uongozi wa Serikali za Vijiji husika na Diwani wa Kata hiyo ya Ushirika (CCM) Bw. DAUDI SIMON MABENGA Wilaya ya Mbogwe huko Geita.
Bw. Deogratius amesema "Uongozi wa Kata hiyo Umeanzisha Mifumo Mibovu ya Kinyonyaji Kwa Kuwachangisha Ovyo Wananchi Michango Isiyokuwa ya lazima ndani ya Kata hiyo na pale anapotokea Mtu anayehoji Uhalali wa Michango hiyo Jambo la Kwanza anaulizwa Chama Chake na Inapotokea tu Kwamba yeye ni Mfuasi au Mwanachama wa Chadema basi hukamatwa na Kupewa adhabu Kali na Mgambo wa Kata Kwa Amri ya Diwani huyo wa CCM Kabla ya Kupelekwa Polisi ambapo hukutana na adhabu zingine za Mateso" alisema Bw. Deogratius.
Kiongozi huyo wa Chama ameomba Msaada na Nguvu ya Kutosha. ITV Habari
Wakereketwa na Wanachama wa Chama chake anachokiongoza (Chadema) Wanateswa na Kunyanyaswa Vibaya sana na Jeshi la Polisi Kwa Kushirikiana na Uongozi wa Serikali za Vijiji husika na Diwani wa Kata hiyo ya Ushirika (CCM) Bw. DAUDI SIMON MABENGA Wilaya ya Mbogwe huko Geita.
Bw. Deogratius amesema "Uongozi wa Kata hiyo Umeanzisha Mifumo Mibovu ya Kinyonyaji Kwa Kuwachangisha Ovyo Wananchi Michango Isiyokuwa ya lazima ndani ya Kata hiyo na pale anapotokea Mtu anayehoji Uhalali wa Michango hiyo Jambo la Kwanza anaulizwa Chama Chake na Inapotokea tu Kwamba yeye ni Mfuasi au Mwanachama wa Chadema basi hukamatwa na Kupewa adhabu Kali na Mgambo wa Kata Kwa Amri ya Diwani huyo wa CCM Kabla ya Kupelekwa Polisi ambapo hukutana na adhabu zingine za Mateso" alisema Bw. Deogratius.
Kiongozi huyo wa Chama ameomba Msaada na Nguvu ya Kutosha. ITV Habari