Bata batani
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 3,182
- 3,547
Jamani mimi ni mwanachama damudamu wa ccm ila nina miaka kumi na moja ndani ya chama hichi na ni mmoja kati ya muasisisi niliyekuwa nikiwashawishi watu waipende ccm mtaani na kwenye majukwaaaa cha kushangaza mpaka leo sina hata cheo hata sijawahi hata kupewa uenyekiti wa vijana ......jamani hivi chadema .......nina matumaini hakuna ubaguzi